KLB Visionary Social Studies Learner’s Grade 5
KSh444.00 Original price was: KSh444.00.KSh400.00Current price is: KSh400.00.
Related products
-
EAEP Kiswahili Angaza Kitabu cha Mazoezi Grade 5 by M. Banda na S. Otieno
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Angaza, Kitabu cha Mazoezi, Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandikwa kwa ubunifu ili kuimarisha maarifa ya mwanafunzi kupitia mazoezi. Mazoezi kwenye kitabu hiki yamewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Umilisi. Mazoezi haya yatamwezesha mwanafunzi kukuza stadi zinazohitajika, maadili na kukabiliana na masuala mtambuko.
Kitabu hiki kimezingatia mambo sita muhimu katika ujifunzaji wa lugha:
• Mazoezi mbalimbali yanayopalilia na kushadidia umilisi wa mwanafunzi
• Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha ambazo ni: Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Picha ya muhtasari inayoeleza yale yatakayoshughulikiwa kwa kila stadi ya ujifunzaji.
• “Sasa ninajua’ na Jitathmini’ ambavyo ni vidokezo vya kujifunzia na kuimarisha umilisi baada ya mazoezi.
• Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
• Picha zilizotumika zimechorwa vizuri na kikamilifu. Kila mada imeanza kwa picha ambayo inasisimua hamu ya mwanafunzi ya kujifunza.Waandishi wa kitabu hiki ni wale wale waandishi wa vitabu maarufu uvipendavyo vya Kiswahili Angaza Gredi ya 1, 2, 3, 4 na 5, na wana uzoefu mkubwa na wamekiandika kitabu hiki kwa utaalamu mkuu.
ISBN: 9789966565792
-
Bookmark Art and Craft Learner’s Grade 5 (Approved) by C.Mavyala, N.Nthenya and K. Kanogu
KSh638.00Original price was: KSh638.00.KSh575.00Current price is: KSh575.00.Add to cartArt and Craft Grade 5 Learner’s Workbook Congratulations for choosing this amazing workbook. This will help learners to lay a firm and lasting creative foundation in understanding art, and craft as they prepare for Junior Secondary school. The activities in the book are easy to use and are carefully designed to enhance the appreciation of indigenous artistic cultural heritage.
A teacher’s guide is available to ensure that the learner achieves the best of the activities provided in the book. The instructions in the teacher’s guide indicate how each activity can be developed in order to make the most of the activities in the book.
Our authors have vast experience in teaching and preparing educational Art and craft material at various levels of art education.
ISBN: 9789966749482
-
EAEP Super Minds English Workbook Grade 5 by J. Maina, A. Ngigi and C. Kimeu
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartSuper Minds English Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop proficiencies in the learner. This workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well-researched and creatively written to enable the learner to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
This English Workbook:
• has been uniquely written to develop oral, reading, and writing skills, as well as competencies in grammar use
• uses a simple approach to language that is to the level of the learner
• has reflection questions at the beginning of each strand to stimulate the learner’s mind
• has a wide variety of practice questions to help the learner grasp a broad range of concepts in the English language
• is creatively designed to enable the learner to write all answers to the questions in the workbook spaces easily
• has attractive, well-drawn, full colour illustrations that will arouse a learner’s desire to learn
The authors of this workbook are teachers of English with vast experience. This workbook should be used alongside the Super Minds English Learner’s Book for Grade 5.ISBN: 9789966565785
-
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by K. Ngere, M. Kikwanuu, H. Kangai and Walla bin Walla
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 5 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali. Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi:
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake,
• kujiamini na kujithamini,
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo,
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo,
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali.
Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma.
Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.ISBN: 9789966643155
-
Read more
-Aligned to CBC themes.
-A variety of digital literacy activities.
-Detailed step by step writing guides.
-Writing spaces for practice in each unit.
-Over 25 CBC themed composition samples.
-Writing skills that promote lifelong learning.
-Learner-centered activities to build vocabulary.
-Over 100 composition prompts for further practice.
ISBN: 9789966623980








Reviews
There are no reviews yet.