DISTINCTION ENCYCLOPAEDIA GRADE 2
KSh1,200.00
Related products
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh415.00Original price was: KSh415.00.KSh370.00Current price is: KSh370.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
Enjoy Mathematical Activities Learner’s Book Grade 2
KSh356.00Original price was: KSh356.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartEnjoy Mathematical Activities is a primary school course developed in line with the requirements of the competency based curriculum. The course employs an inquiry based approach to learning which equips learners with skills, knowledge and values, and the quest to explore and discover by themselves.
The course:
emphasises on enquiry based approach to learning and problem solving techniques
has carefully graded Mathematical language that enhances understanding
has a variety of hands-on activities which enable learners to explore and put their skills to practice
is learner centred with to-do tasks that make learning and performance of Mathematical Activities enjoyable
involves learners in techniques of observation, discussion and drawing conclusions from Mathematical Activities
is written and developed by skilled educators with apt experience in the competence-based curriculum
The teacher’s guidebooks have been written in an easy to understand format, with guiding procedure on how to guide learners through the activities in each lesson. They address the competencies. pertinent and contemporary issues, values and other requirements stipulated in the syllabus.
ISBN: 9789966630643
-
Let’s do Mathematics Activities grade 2 (Approved
KSh400.00Original price was: KSh400.00.KSh360.00Current price is: KSh360.00. -
Longhorn Mathematics Activities Grade 2
KSh575.00Original price was: KSh575.00.KSh515.00Current price is: KSh515.00.Add to cartLonghorn Mathematics Activities Grade 2 Learner’s Book is a new, concise and comprehensive book that has been developed in line with the new competence-based Curriculum for Grade 2.
It is the book of choice to many leaners and teachers in that it:
• Strictly follows the competence-based learning approach that emphasises mastery of concepts.
• Presents concepts and content through very interactive learner-centered activities set in the learner’s environment.
• Involves the learner in the learning process through active participation and activities.
• Uses a very simple language to communicate concepts and content clearly.
• Provides concise notes and numerous examples on each concept to enhance mastery
• Provides a practice exercise for each concept to give learners an opportunity to practice, and to assess their mastery of concepts.
• Contains full-colour illustrations that clearly portray objects and concepts in their natural setting.
• Has an accompanying Teacher’s guide books that guides the teacher on the pedagogical approaches appropriate for implementing the new competence-based curriculum. It also provides answers to exercises and activities.
The book is designed and developed by a team of well-known and respected Mathematics educators with many years of teaching experience and curriculum development.ISBN: 9789966640420
-
Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 2
KSh593.00Original price was: KSh593.00.KSh534.00Current price is: KSh534.00.Add to cartKiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunzo. Pia vinakura umili uliopendekezwa, maadili kufahamisha kuhusu masualaibuka.
Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi. Gredi 2. utapata :
-mada zilizopangwa Kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya
-mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika
-mazoezi nje ya darasa ili kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
-Jinsi ya kuwashirikisho wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikajiKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji
ISBN: 9780195746839







Reviews
There are no reviews yet.