CONQUER GRAMMAR WORKBOOK GRADE 2
KSh410.00
Related products
-
Let’s do Mathematics Activities grade 2 (Approved
KSh400.00Original price was: KSh400.00.KSh360.00Current price is: KSh360.00. -
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh415.00Original price was: KSh415.00.KSh370.00Current price is: KSh370.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
Longhorn Mathematics Activities Grade 2
KSh575.00Original price was: KSh575.00.KSh515.00Current price is: KSh515.00.Add to cartLonghorn Mathematics Activities Grade 2 Learner’s Book is a new, concise and comprehensive book that has been developed in line with the new competence-based Curriculum for Grade 2.
It is the book of choice to many leaners and teachers in that it:
• Strictly follows the competence-based learning approach that emphasises mastery of concepts.
• Presents concepts and content through very interactive learner-centered activities set in the learner’s environment.
• Involves the learner in the learning process through active participation and activities.
• Uses a very simple language to communicate concepts and content clearly.
• Provides concise notes and numerous examples on each concept to enhance mastery
• Provides a practice exercise for each concept to give learners an opportunity to practice, and to assess their mastery of concepts.
• Contains full-colour illustrations that clearly portray objects and concepts in their natural setting.
• Has an accompanying Teacher’s guide books that guides the teacher on the pedagogical approaches appropriate for implementing the new competence-based curriculum. It also provides answers to exercises and activities.
The book is designed and developed by a team of well-known and respected Mathematics educators with many years of teaching experience and curriculum development.ISBN: 9789966640420
-
Akili pevu Kiswahili Angaza Kitabu cha Mwanafunzi Grade 2 by Shabaan Otieno, Mziwanda Banda
KSh631.00Original price was: KSh631.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562845
-
KLB Visionary CRE Activities Grade 2 by KLB
KSh439.00Original price was: KSh439.00.KSh395.00Current price is: KSh395.00.Add to cartKLB Visionary Grade 2 Christian Religious Activities Learner’s Workbook has been developed in line with the requirements of the new Competence Based Curriculum Design.The experiences have been developed in tandem with the thematic integrated approach that is recommended for children at this level.The book is generously illustrated to enliven the content and the text follows the design closely.
This Workbook has employed a child-centred approach where all experiences are centred on the child’s interests, knowledge and application to real life situations in line with the Life Approach Method of teaching Christian Religious Education. Learners encounter different situations and gain experience from what happens around them. Every lesson has something to draw from day-to-day occurrences.
This Learner’s Workbook has, therefore, used short texts in simple language with familiar situations that are created to help learners understand more difficult concepts.Gender equitable roles have been reflected so as to erase the association of certain tasks with specific gender. For example, both boys and girls are involved in household chores, playing musical instruments and actively participating in church activities.The principle of inclusivity has been taken care of by having illustrations of children with special needs involved in common activities with other children to make learners appreciate them as part of the society.
This Learner’s book is basically a Workbook with numerous practical activities within and at the end of every lesson to enable the learner to practise doing on their own. The simple exercises like drawing, colouring, singing and reciting memory verses are integrated within the lessons so as to make learning interesting and participatory.
ISBN: 9789966652225








Reviews
There are no reviews yet.