Storymoja Cheche za Insha Grade 5 by Storymoja
KSh611.00 Original price was: KSh611.00.KSh550.00Current price is: KSh550.00.
inaakisi Mtaala wa Kiumilisi.
Mazoezi ya ujuzi wa kidyitali.
Mwongozo wa uandishi hatua kwa hatua.
Nafasi za kufanyia mazoezi katika kila sura.
Vielelezo 25 vya insha zinazogusia Mtaala wa Kiumilisi.
Ujuzi wa kuandika unaokuza ujifunzaji endelevu maishani.
Mazoezi ya kukuza msamiati wa mada inayohusika.
Vichocheo zaidi ya 100 vya mazoezi ya kuandika insha bora.
Fursa ya kuchapishs insha yako na kampuni ya storymoja.
ISBN: 9789966623973
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
OUP Our Lives Today Social Studies Work book Grade 5 by CEPHAS KAMAU
KSh605.00Original price was: KSh605.00.KSh545.00Current price is: KSh545.00.Add to cart- Our lives today social studies workbooks is a unique, fun filled series that comprehensively covers the competency based curriculum. Each book in thee series is well researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies , skills ,values and attitudes.
This book workbook offers:
Stimulating activities that are arranged from simple to challenging
Activities that require interaction with parents, guardians and other community members. These activities involve observation , experimentation and project work.
A self assessment section that enables the learner to measure his or her understanding of concepts in each sub strand
- Our lives today social studies workbooks is a unique, fun filled series that comprehensively covers the competency based curriculum. Each book in thee series is well researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies , skills ,values and attitudes.
-
KLB Visionary Mathematics Learner’s Grade 5 (Approved) by MWANGI
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartKLB Visionary Mathematics for Grade 5 Learner’s Book is designed to help the learners acquire computational skills at this level. The book contains numerous activities that enable the learner to develop numeracy skills without undue difficulty.
• This book is developed in line with the requirements of the Competency-Based Curriculum and subject design.
• The content is presented in concise language appropriate to the level of the learner.
• The style is simple, making the book highly readable and the concepts easy to understand.
• The book contains full-colour illustrations designed to hold the attention and interest of the learners.
• The learner’s book has employed a learner-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations.
• Every lesson draws from day-to-day occurrences which form the basis for lesson introduction.
• The book has numerous practical activities and examples that enable the learner to learn on their own with minimum input from the teacher.ISBN: 9789966656582
-
EAEP Kiswahili Angaza Kitabu cha Mazoezi Grade 5 by M. Banda na S. Otieno
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Angaza, Kitabu cha Mazoezi, Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandikwa kwa ubunifu ili kuimarisha maarifa ya mwanafunzi kupitia mazoezi. Mazoezi kwenye kitabu hiki yamewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Umilisi. Mazoezi haya yatamwezesha mwanafunzi kukuza stadi zinazohitajika, maadili na kukabiliana na masuala mtambuko.
Kitabu hiki kimezingatia mambo sita muhimu katika ujifunzaji wa lugha:
• Mazoezi mbalimbali yanayopalilia na kushadidia umilisi wa mwanafunzi
• Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha ambazo ni: Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Picha ya muhtasari inayoeleza yale yatakayoshughulikiwa kwa kila stadi ya ujifunzaji.
• “Sasa ninajua’ na Jitathmini’ ambavyo ni vidokezo vya kujifunzia na kuimarisha umilisi baada ya mazoezi.
• Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
• Picha zilizotumika zimechorwa vizuri na kikamilifu. Kila mada imeanza kwa picha ambayo inasisimua hamu ya mwanafunzi ya kujifunza.Waandishi wa kitabu hiki ni wale wale waandishi wa vitabu maarufu uvipendavyo vya Kiswahili Angaza Gredi ya 1, 2, 3, 4 na 5, na wana uzoefu mkubwa na wamekiandika kitabu hiki kwa utaalamu mkuu.
ISBN: 9789966565792
-
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by K. Ngere, M. Kikwanuu, H. Kangai and Walla bin Walla
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 5 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali. Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi:
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake,
• kujiamini na kujithamini,
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo,
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo,
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali.
Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma.
Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.ISBN: 9789966643155








Reviews
There are no reviews yet.