Sale!
Sale!
PREMIER ENGLISH WORKBOOK GRADE 2
Original price was: KSh450.00.KSh390.00Current price is: KSh390.00.
Category
KSh450.00 Original price was: KSh450.00.KSh390.00Current price is: KSh390.00.
Kiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.
ISBN: 9789966562845
Everyday Hygiene and Nutrition Activities is a new series for the new competency based curriculum, specially written to provide practical experiences that equip learners with the basic knowledge, skills and attitudes that promote a happy and healthy lifestyle. Books in the series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition of the core competences, values and pertinent and contemporary issues (PCIs).
ISBN: 978 019 574665 5
Mentor Mathematical Activities Grade 2 workbook is fully in line with the new Competency-Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059727
Reviews
There are no reviews yet.