OUP Kiswahili Dadisi Workbook GD5
KSh550.00 Original price was: KSh550.00.KSh495.00Current price is: KSh495.00.
ISBN: 9780195745702
Related products
-
Read more
-Aligned to CBC themes.
-A variety of digital literacy activities.
-Detailed step by step writing guides.
-Writing spaces for practice in each unit.
-Over 25 CBC themed composition samples.
-Writing skills that promote lifelong learning.
-Learner-centered activities to build vocabulary.
-Over 100 composition prompts for further practice.
ISBN: 9789966623980
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
EAEP Super Minds English Workbook Grade 5 by J. Maina, A. Ngigi and C. Kimeu
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartSuper Minds English Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop proficiencies in the learner. This workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well-researched and creatively written to enable the learner to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
This English Workbook:
• has been uniquely written to develop oral, reading, and writing skills, as well as competencies in grammar use
• uses a simple approach to language that is to the level of the learner
• has reflection questions at the beginning of each strand to stimulate the learner’s mind
• has a wide variety of practice questions to help the learner grasp a broad range of concepts in the English language
• is creatively designed to enable the learner to write all answers to the questions in the workbook spaces easily
• has attractive, well-drawn, full colour illustrations that will arouse a learner’s desire to learn
The authors of this workbook are teachers of English with vast experience. This workbook should be used alongside the Super Minds English Learner’s Book for Grade 5.ISBN: 9789966565785
-
OUP Everyday Science and Technology Learner Grade 5 (Approved) by J. Odhiambo, L.Chimba, J. Mwende, P. Mumo and W. Nyabera
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartEveryday Science and Technology Learner’s Book, Grade 5
Everyday Science & Technology is a new series for the Competency-Based Curriculum. It is specially written to provide practical experiences that equip learners with knowledge and skills that will enable learners to develop a positive attitude towards Science & Technology as a learning area and also appreciate its importance in their everyday life. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating The activities are aimed at enabling learners to acquire the core competencies and values as well as embrace the pertinent and contemporary issues (PCIS).Everyday Science & Technology Learner’s Book Grade 5 has:
• Numerous interactive activities to enable learners to acquire practical skills to solve problems in their environment.
• Think about these sections aimed at bringing out critical thinking and problem-solving skills in learners.
• Home tasks to allow learners to engage family and the community in the learning process.
• Digital corner sections that allow learners to apply digital technology in learning.
• My dictionary sections to enable learners to acquire new scientific vocabulary.
Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new Competency-Based Curriculum. Oxford, your companion for success! Everyday Everyday Everyday
ISBN: 9780195749250
-
EAEP Kiswahili Angaza Kitabu cha Mazoezi Grade 5 by M. Banda na S. Otieno
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Angaza, Kitabu cha Mazoezi, Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandikwa kwa ubunifu ili kuimarisha maarifa ya mwanafunzi kupitia mazoezi. Mazoezi kwenye kitabu hiki yamewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Umilisi. Mazoezi haya yatamwezesha mwanafunzi kukuza stadi zinazohitajika, maadili na kukabiliana na masuala mtambuko.
Kitabu hiki kimezingatia mambo sita muhimu katika ujifunzaji wa lugha:
• Mazoezi mbalimbali yanayopalilia na kushadidia umilisi wa mwanafunzi
• Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha ambazo ni: Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Picha ya muhtasari inayoeleza yale yatakayoshughulikiwa kwa kila stadi ya ujifunzaji.
• “Sasa ninajua’ na Jitathmini’ ambavyo ni vidokezo vya kujifunzia na kuimarisha umilisi baada ya mazoezi.
• Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
• Picha zilizotumika zimechorwa vizuri na kikamilifu. Kila mada imeanza kwa picha ambayo inasisimua hamu ya mwanafunzi ya kujifunza.Waandishi wa kitabu hiki ni wale wale waandishi wa vitabu maarufu uvipendavyo vya Kiswahili Angaza Gredi ya 1, 2, 3, 4 na 5, na wana uzoefu mkubwa na wamekiandika kitabu hiki kwa utaalamu mkuu.
ISBN: 9789966565792








Reviews
There are no reviews yet.