Kurunzi ya Insha gredi ya 4 na 5 by Francis Wangome
KSh800.00 Original price was: KSh800.00.KSh720.00Current price is: KSh720.00.
Kurunzi ya Insha Darasa la 4 na 5
ISBN: 9789966002679
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
EAEP Kiswahili Angaza Kitabu cha Mazoezi Grade 5 by M. Banda na S. Otieno
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Angaza, Kitabu cha Mazoezi, Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandikwa kwa ubunifu ili kuimarisha maarifa ya mwanafunzi kupitia mazoezi. Mazoezi kwenye kitabu hiki yamewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Umilisi. Mazoezi haya yatamwezesha mwanafunzi kukuza stadi zinazohitajika, maadili na kukabiliana na masuala mtambuko.
Kitabu hiki kimezingatia mambo sita muhimu katika ujifunzaji wa lugha:
• Mazoezi mbalimbali yanayopalilia na kushadidia umilisi wa mwanafunzi
• Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha ambazo ni: Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Picha ya muhtasari inayoeleza yale yatakayoshughulikiwa kwa kila stadi ya ujifunzaji.
• “Sasa ninajua’ na Jitathmini’ ambavyo ni vidokezo vya kujifunzia na kuimarisha umilisi baada ya mazoezi.
• Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
• Picha zilizotumika zimechorwa vizuri na kikamilifu. Kila mada imeanza kwa picha ambayo inasisimua hamu ya mwanafunzi ya kujifunza.Waandishi wa kitabu hiki ni wale wale waandishi wa vitabu maarufu uvipendavyo vya Kiswahili Angaza Gredi ya 1, 2, 3, 4 na 5, na wana uzoefu mkubwa na wamekiandika kitabu hiki kwa utaalamu mkuu.
ISBN: 9789966565792
-
MTP Agriculture Learner’s Grade 5 (Approved) by N. Gitonga
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartBy the end of upper primary, the learner should be able to:
• Participate actively in agricultural activities for environmental conservation.
• Use scarce agricultural resources through innovative practices to contribute towards food security.
• Rear small domestic animals as a profitable agricultural enterprise for self-sustainability and economic development.
• Apply technological skills, digital and media resources to enhance sustainable agricultural practices.
• Appreciate agriculture as a worthy niche for hobby, career development, further education and training.ISBN: 9789966822741
-
JKF Foundation Music Learner’s Grade 5 (Approved) by F. Muyela, A.Ndungu and J. Osir
KSh388.00Original price was: KSh388.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.Add to cartThis is the fifth for the competency-based curriculum. The coursebook is intended for use by Grade 5 learners.
The keys features of the book include:
– Adequate coverage of the of the new curriculum concepts and skills, with a strong activity orientation
– Deliberate use of local songs that learners can easily identify with
– Clear easy-to-follow learning steps
– Attractive illustrations that will enhance the understanding and appreciation of the text
– A number of activities that reinforce the learning process.
The book comes with a separate comprehensive teacher’s guide.ISBN: 9789966511881
-
Longhorn Agriculture Learner’s Book Grade 5 (Approved) by P.Sigei, D. Kemei, B. Ndumia
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Agriculture Grade 5 Learner’s Book is a book that comprehensively and exhaustively covers the new CompetencyBased Agriculture Curriculum for Grade 5. It promotes the acquisition of core competences, relevant social skills, positive attitudes, and values. It also promotes the practical application of knowledge gained in the classroom.
The content in the book is based on the general experiences of the learner as well as Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) covered in the curriculum. The book promotes social skills and values through activities and tasks which are organised within content areas, and that reflect the learner’s environment and social realities in a simple but thought-provoking way.
The activities and tasks also promote critical thinking and problem-solving skills as well as the acquisition of important life skills among learners for a quick and careful response to challenges in society.ISBN: 9789966643216








Reviews
There are no reviews yet.