Related products
-
New Progressive Primary English Activities Grade 2
KSh593.00Original price was: KSh593.00.KSh534.00Current price is: KSh534.00. -
Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 2
KSh593.00Original price was: KSh593.00.KSh534.00Current price is: KSh534.00.Add to cartKiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunzo. Pia vinakura umili uliopendekezwa, maadili kufahamisha kuhusu masualaibuka.
Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi. Gredi 2. utapata :
-mada zilizopangwa Kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya
-mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika
-mazoezi nje ya darasa ili kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
-Jinsi ya kuwashirikisho wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikajiKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji
ISBN: 9780195746839
-
Moran Skills in English Activities Learner’s book Grade 2
KSh422.00Original price was: KSh422.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartSkills in English is a complete English course developed in line with the Competence-Based Curriculum. The course offers the learners appropriate skills, knowledge, values and attitudes necessary for learning English as a learning area and as a language of communication. The text is presented in a manner that stimulates learning. The course has been prepared after in-depth research. It employs an inquiry-based approach to learning in all activities which equip learners with the necessary competencies. skills and the quest to learn and discover on their own.
The course:
Encourages the use of learning materials from the learner’s immediate environment thus giving the learner an opportunity to learn from what they already know
Has a variety of activities which enable learners to learn and explore
Covers all the outcomes in the syllabus
Has activities which integrate the core competencies. values and pertinent and contemporary issues
Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
Has activities that enable learners to appreciate and improve their community
Has activities which enhance literacy and communication skills.
ISBN: 9789966630667
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh415.00Original price was: KSh415.00.KSh370.00Current price is: KSh370.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
Storymoja Know More CRE Activities Grade 2 by Story Moja by Rebbeca Makabira & Evaline Cheruiyot
KSh433.00Original price was: KSh433.00.KSh390.00Current price is: KSh390.00.Add to cartKnow More Christian Religious Education Activities Learner’s Workbook for Grade 2 is written in conformity to the new competency-based curriculum designed to assist learners to carry out various interactive learning activities and experiences.This will in turn provide them with opportunities to develop core competences, core values, skills and attitudes. Key features
• A detailed coverage of all the required curriculum design themes and sub-themes.
• Interactive learner-centred Christian Religious Education learning activities and experiences.
• Learner-centred activity questions for each learning experience.
• Choice of learning activities that take care of learners with special needs.
• Use of clear, varied, relevant and well-captioned illustrations to support the text.
• Interactive activity questions for each learning experience.
• Community service learning activities that help in building collaborative relationships between schools and families.
• Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities. Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations.The authors of this book have taught young learners for many years and have a vast excellence in handling learners of this level.
ISBN: 9789966621382







Reviews
There are no reviews yet.