Everyday Science and Technology Workbook 5
KSh588.00 Original price was: KSh588.00.KSh530.00Current price is: KSh530.00.
Everyday Science and Technology Workbook is a unique fun-filled series that comprehensively covers the Competency-based Curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skill, values and attitudes.
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Storymoja Know More Agriculture Grade 5 Learner (Approved) by Story Moja by J. Muinde, F. Sayia, J. Mbutu
KSh577.00Original price was: KSh577.00.KSh520.00Current price is: KSh520.00.Add to cartKnow More Agriculture Learner’s Book for Grade 5 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners to carry out various interactive learning activities.
The book provides learners with opportunities to develop core competencies, values, skills, and attitudes.
Know More Agriculture key features
• A detailed coverage of all the required curriculum design strands and sub-strands.
• Interactive learner-centered learning activities and experiences.
• Learning activities that take care of learners with special needs.
• Well-summarized notes after every topic.
• Use of clear, varied, relevant, and well-captioned illustrations and photographs to support the text.
• Interactive activity-based questions.
• Community service-learning activities that help in building collaborative relationships between the schools and communities.
• Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities.
• Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations. Know More Agriculture Learner’s Book for Grade 5 has been approved by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) for use in schools as course material. It comes along with a detailed Teacher’s Guide. The authors have taught for many years and have vast experience in handling learners of various levels of education.ISBN: 9789966624062
-
Moran Beginning Music Learner’s Book Grade 5 (Approved) by W. Mureithi, D. Amimo, A. Maina
KSh400.00Original price was: KSh400.00.KSh360.00Current price is: KSh360.00.Add to cartBeginning Music is a course developed to meet the requirements of the Competency-Based Curriculum.
The course has been prepared after in-depth research to enable learners to acquire the necessary knowledge, skills, values, and attitudes. It has plenty of activities that stimulate learning, nurture learners’ skills, competencies, and talents, make the learning process enjoyable and instill values and attitudes specified in the curriculum design.
The course:
– Encourages the use of learning materials from the learner’s immediate environment thus giving the learner an opportunity to appreciate the environment
– Has a variety of activities that enable learners to explore and learn
– Covers all the specific learning outcomes in the curriculum design
– Has activities that integrate the core competencies, values, and pertinent and contemporary issues
– Has activities that encourage parental involvement in the learning process
– Has activities that encourage learners to nurture their talent in music Has activities that enable learners to appreciate and improve their community.ISBN: 9789966632975
-
EAEP Kiswahili Angaza Kitabu cha Mazoezi Grade 5 by M. Banda na S. Otieno
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Angaza, Kitabu cha Mazoezi, Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandikwa kwa ubunifu ili kuimarisha maarifa ya mwanafunzi kupitia mazoezi. Mazoezi kwenye kitabu hiki yamewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Umilisi. Mazoezi haya yatamwezesha mwanafunzi kukuza stadi zinazohitajika, maadili na kukabiliana na masuala mtambuko.
Kitabu hiki kimezingatia mambo sita muhimu katika ujifunzaji wa lugha:
• Mazoezi mbalimbali yanayopalilia na kushadidia umilisi wa mwanafunzi
• Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha ambazo ni: Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Picha ya muhtasari inayoeleza yale yatakayoshughulikiwa kwa kila stadi ya ujifunzaji.
• “Sasa ninajua’ na Jitathmini’ ambavyo ni vidokezo vya kujifunzia na kuimarisha umilisi baada ya mazoezi.
• Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
• Picha zilizotumika zimechorwa vizuri na kikamilifu. Kila mada imeanza kwa picha ambayo inasisimua hamu ya mwanafunzi ya kujifunza.Waandishi wa kitabu hiki ni wale wale waandishi wa vitabu maarufu uvipendavyo vya Kiswahili Angaza Gredi ya 1, 2, 3, 4 na 5, na wana uzoefu mkubwa na wamekiandika kitabu hiki kwa utaalamu mkuu.
ISBN: 9789966565792
-
Read more
-Aligned to CBC themes.
-A variety of digital literacy activities.
-Detailed step by step writing guides.
-Writing spaces for practice in each unit.
-Over 25 CBC themed composition samples.
-Writing skills that promote lifelong learning.
-Learner-centered activities to build vocabulary.
-Over 100 composition prompts for further practice.
ISBN: 9789966623980








Reviews
There are no reviews yet.