Sale!
Sale!
Why Hyena has Spots 1e
Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.
Category
KSh211.00 Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.
Juma na Maria ni wanafunzi wa darasa la kwanza. Wao hufanya mambo mbalimbali kila siku. Mambo ambayo wanafanya nyumbani ni tofauti na mambo wanayofanya shuleni. Soma kitabu hiki. Utajua ni mambo gani Juma na Maria wanafanya.
ISBN: 9789966342478
Roda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
Tuliondoka pale maziarani, mama akiwa mbele yetu kuongoza rubaa hadi kiamboni.Nilimtazama alivyotembea. Alikuwa mnyonge, gofu la mtu, kabaki mitulinga ,nyonga na fuvu la kichwa. Alikuwa mnyonge mfano wa sabatele changaraweni. Tulitembea guu bandika guu bandua. Kimya. Unywele ungalianguka, ungaliusika
Siku hii naikumbuka kama jina langu…..
ISBN : 9789966342355
Read and Grow makes reading fun. Both early readers and late readers will find it easy to read. The story books are useful for both classroom and home reading. Let the learners learn the appropriate themes, activities, attitudes and words.
ISBN: 2010141002256
This is a story about a girl who did not like to comb her hair.
The little girl’s hair grows into a big knot. The knot is so big that Owl and some other animals move in and make a home. The girl’s friends all run away because the Owl is always hooting and tooting.
How will the little girl get rid of all the animals in her hair?
This interesting story teaches the reader about the importance of keeping hair neat and clean.
ISBN: 9789966075987
Reviews
There are no reviews yet.