Visionary Home Science Learner’s Grade 4 by KLB
KSh388.00 Original price was: KSh388.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.
KLB Visionary Home Science Grade Four Learner’s Book has been designed with the aim of equiping the learner with knowledge, skills, attitudes and values needed in day-to-day life. The concepts presented build on the competencies introduced in Grade Five and the early years of learning.
ISBN: 9789966655806
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi GD4 Wkbk by Oxford
KSh517.00Original price was: KSh517.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartKiswahili Dadisi Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika Mtalaa mpya wa Umilisi.
Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata
umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya
mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka. Kitabu hiki:
• kimeandikwa kwa kufuata utaratibu uliopendekezwa kwenye mtalaa
• kina mazoezi mengi ya kuchangamsha na kuelimisha, na ambayo yatamwezesha mwanafunzi kujenga na kupanua umilisi katika kila mada.
• kina tathmini ya binafsi ambayo itamsaidia mwanafunzi kukadiria umilisi wake katika
mada ndogo zote.
Majibu ya mazoezi katika vitabu vyote vya Gredi ya Nne yanapatikana katika kitabu kimoja.ISBN: 9780195748758
-
Oxford Our Lives Today Social Studies Grade 4 (Approved) by Muthoka
KSh517.00Original price was: KSh517.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartOur Lives Today is a series specially written to provide practical experiences that support the acquisition of skills for the Competency
Based Curriculum. Books in the series have a wide range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition and appreciation of the core competencies, values, and pertinent and contemporary issues (PCIs).ISBN: 9780195747881
-
KLB Visionary Music Grade 4 (Approved) by Muchiri
KSh411.00Original price was: KSh411.00.KSh370.00Current price is: KSh370.00.Add to cartKLB Visionary Grade Four Music Learner’s Book is aimed at providing learners with an avenue for expressing feelings, ideas and emotions. The activities involved offers the learner enjoyable and purposeful experience through singing, playing instruments and
creating music.* It is developed in line with the requirements of the Competency Based Curriculum design.
* The experiences is aligned with the thematic integrated approach thus presenting concepts in the most appropriate way for learners at this level.
* This book is majorly illustrated to enliven the content and the text follows the design closely.
* It has employed a learner-centred approach where all experiences are centred on the learner’s interests, knowledge and application to real life situations in line with the Life Approach Method of teaching Music.
* Every lesson draws from learner’s day-to-day activities at home and school.
* The book has numerous practical activities to enable the learner acquire the required skills and competence without undue difficulty.
* Issues around gender equity and parity are well articulated in this title.
ISBN: 9789966655745
-
Spotlight Kurunzi ya Kiswahili Grade 4 (Approved)
KSh583.00Original price was: KSh583.00.KSh525.00Current price is: KSh525.00.Add to cartKurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya Nne kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwanafunzi kumudu mtaala huu unaolenga umilisi kwa nijia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ujifunzaji.
Kitabu hiki:
* Kimeshughulikia mada kwa namna ambayo inamwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
* Mada na shughuli za ujifunzaji zimeteuliwa kwa uangalifu ili kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali.
* Kina mazoezi na mijarabu anuwai ya kumtathmini mwanafunzi.
* Kina picha halisi na michoro ya kuvutia inayosaidia katika uelewa wa mada.
* Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia vifaa vya teknolojia kama vile video, redio na tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
* Mbinu tofauti za ujifunzaji zimejumuishwa kama vile kazi mradi, shughuli nje ya darasa, kumwalika mgeni, kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi, uchoraji na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kuujenga umilisi wa mwanafunzi.
* Mada na shughuli za ujifunzaji zimeshughulikia masuala mtambuko na kumsisitizia mwanafunzi maadili.
* Kitebu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.
ISBN: 9789966572165
-
KLB Visionary Science and Technology Grade 4 (Approved) by Munene
KSh505.00Original price was: KSh505.00.KSh455.00Current price is: KSh455.00.Add to cartScience and Technology has been designed with the aim of equiping the learner with scientific knowledge and attitudes that they can apply in their day-to-day life.
The concepts presented build on the competencies introduced in the early years of learning.
* The science element presents activities that guide the learner through explanations and predictions about nature and the universe.
* The application of technological element introduces the learner to elementary technological concepts and application of digital literacy in learning and solving problems.
ISBN: 9789966655844








Reviews
There are no reviews yet.