Spotlight Mathematics Workbook Grade 1 by Spotlight Publishers
KSh467.00 Original price was: KSh467.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.
Related products
-
EAEP Akili pevu Kiswahili Angaza Gredi 1 (Approved)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562821
-
Longhorn English Literacy Activities Learner’s Book Grade 1
KSh486.00Original price was: KSh486.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartLonghorn English Literacy Activities Grade 1 Learner’s Book is a book based on the new competency-based curriculum. It promotes the acquisition of core competencies, relevant literacy skills, positive attitudes and values by learners. It also promotes practical application of the knowledge gained in class.
Content in the book is based on the general experiences of the learners as well as Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) given in the curriculum. The content is organised in simple but thought-provoking activities that promote critical thinking and problem solving skills as well as acquisition of important life skills among leamers for a responsible response to challenges in the society.
-
KLB Visionary Mathematical Activities Learner’s Book Grade 1
KSh333.00Original price was: KSh333.00.KSh300.00Current price is: KSh300.00.Add to cart
KLB Visionary Mathematical Activities Grade One is a learner’s workbook developed by a team of experts with long-standing experience in teaching and curriculum development.
The learner’s workbook contains:
Exciting activities that provide opportunities to practice what is taught in class.
Logically sequenced activities aligned to the designs.
Interesting, culturally relevant and age-appropriate exercises meant to stimulate learning of mathematics.
Each learner’s workbook activity corresponds to a particular lesson.
The pupils are expected to do the exercises on their own either in class or at home.
ISBN: 9789966652362
-
Spear Sharp kids Environmental Act G1
KSh467.00Original price was: KSh467.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartSharp Kids Series is designed to ensure that learners have rigorous activities, exercises and assignments that cover all the learning outcomes for the new competency-based curriculum.
The course books embrace short notes for each topic to aid in recall of course work covered. The notes are followed with numerous topical tasks that evaluate the learner’s competency in each strand, sub-strand; both at home and in school.
This is a course of its kind that will enrich your regular classroom work, making learners enjoy and love school work and life.
ISBN: 9789966581105
-
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 1 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 1. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630520







Reviews
There are no reviews yet.