Sale!
Sale!
Mwongozo ya Mapambazuko ya Machweo (Globalink) by Globalink
Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.
ISBN: 9789966766885
Category
KSh544.00 Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.
ISBN: 9789966766885
‘Now that you are the President’s son, you are left with only one thing.’
‘What is it?’
‘The guts and aplomb that go into the President’s son!’
The two rogues would like to reap where they have not sown.
Will Tabi impersonate the President’s son? Will the sugarcoated words be enough to get them to the land of milk and honey?
ISBN: 9789966630254
Nana anahudhuria sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa chanda na pete, Judi. Huko, anakutana na mwigizaji maarufu ambaye ameigiza kama mhusika mkuu katika kipindi cha runinga kinachowalenga vijana. Papo hapo, Nana anapiga urafiki na mvulana huyo maarufu; urafiki ambao unaishia kuwa majuto.
Giza la Muda ni hadithi inayoangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana katika jamii na jinsi ya kukabiliana nazo. Changamoto hizo ni kama vile ushawishi wa marika na mimba za mapema.
ISBN: 9789966623638
Bembea ya Maisha ni hadithi kuhusu Yona na mkewe Sara pamoja na Bunju na mkewe Neema. Wahusika hawa wanajikuta katika vuta n’kuvute inayochochewa na mitazamo ya kitamaduni, uhalisia wa mambo pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera, imani, ushirikiano, upendo, kutanabahi na mshikamano. Katika huu mseto wa mambo ipo sauti imara ya Sara inayosikika ikihimiza na kuzindua. Sauti inayoiona kila hali mfano wa bembea.
ISBN: 9789966194534
Written by teachers of Long Standing Experience in both teaching and marking KCSE. This guide provides 3 booklets under one cover:
-A comprehensive episodic approach guide to Fathers of Nations.
-K.C.S.E English Exams Tips Booklet; through the eye of an Examiner.
-Answered K.C.S.E Model Questions Booklet.
ISBN: 9780098256800
The Samaritan tells the story of two students in maracas municipality who develop a mobile App called The Samaritan-an online platform for whistleblowing as well as sharing ideas and information enhancing public welfare.Soon,the App is flooded with damning information about the unparalleled corruption,malfeasance,and political capture perpetrated by Maracas municipal leader.
ISBN: 9789966657534
Reviews
There are no reviews yet.