Signal CBC Encyclopaedia Grade 5 by Signal
KSh1,577.00 Original price was: KSh1,577.00.KSh1,420.00Current price is: KSh1,420.00.
Signal CBC Encyclopaedia has been specifically designed to meet the needs of Grade Five learners in supplementing the available course books. This book covers the entire Grade Five curriculum as per the Competency Based Curriculum.
ISBN: 9789966199966
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
EAEP Super Minds English Workbook Grade 5 by J. Maina, A. Ngigi and C. Kimeu
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartSuper Minds English Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop proficiencies in the learner. This workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well-researched and creatively written to enable the learner to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
This English Workbook:
• has been uniquely written to develop oral, reading, and writing skills, as well as competencies in grammar use
• uses a simple approach to language that is to the level of the learner
• has reflection questions at the beginning of each strand to stimulate the learner’s mind
• has a wide variety of practice questions to help the learner grasp a broad range of concepts in the English language
• is creatively designed to enable the learner to write all answers to the questions in the workbook spaces easily
• has attractive, well-drawn, full colour illustrations that will arouse a learner’s desire to learn
The authors of this workbook are teachers of English with vast experience. This workbook should be used alongside the Super Minds English Learner’s Book for Grade 5.ISBN: 9789966565785
-
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by K. Ngere, M. Kikwanuu, H. Kangai and Walla bin Walla
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 5 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali. Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi:
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake,
• kujiamini na kujithamini,
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo,
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo,
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali.
Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma.
Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.ISBN: 9789966643155
-
JKF Foundation Music Learner’s Grade 5 (Approved) by F. Muyela, A.Ndungu and J. Osir
KSh388.00Original price was: KSh388.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.Add to cartThis is the fifth for the competency-based curriculum. The coursebook is intended for use by Grade 5 learners.
The keys features of the book include:
– Adequate coverage of the of the new curriculum concepts and skills, with a strong activity orientation
– Deliberate use of local songs that learners can easily identify with
– Clear easy-to-follow learning steps
– Attractive illustrations that will enhance the understanding and appreciation of the text
– A number of activities that reinforce the learning process.
The book comes with a separate comprehensive teacher’s guide.ISBN: 9789966511881
-
OUP Our Lives Today Social Studies Work book Grade 5 by CEPHAS KAMAU
KSh605.00Original price was: KSh605.00.KSh545.00Current price is: KSh545.00.Add to cart- Our lives today social studies workbooks is a unique, fun filled series that comprehensively covers the competency based curriculum. Each book in thee series is well researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies , skills ,values and attitudes.
This book workbook offers:
Stimulating activities that are arranged from simple to challenging
Activities that require interaction with parents, guardians and other community members. These activities involve observation , experimentation and project work.
A self assessment section that enables the learner to measure his or her understanding of concepts in each sub strand
- Our lives today social studies workbooks is a unique, fun filled series that comprehensively covers the competency based curriculum. Each book in thee series is well researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies , skills ,values and attitudes.








Reviews
There are no reviews yet.