Sale!
Sale!
Run Helena! 1q by Kariuki/Muitungu/Muutu
Original price was: KSh256.00.KSh230.00Current price is: KSh230.00.
ISBN: 9780195736366
Category
KSh256.00 Original price was: KSh256.00.KSh230.00Current price is: KSh230.00.
ISBN: 9780195736366
Kito, msichana mdogo wa shule ya msingi, ana kipawa cha kuimba. Kila apatapo nafasi anakuza kipawa hicho. Mwalimu anapomtafuta mwanafunzi ambaye atamtumbuiza mgeni mkuu, wanafunzi wanamchagua Kito.Je, ataweza jukumu hilo? Kito Apepeta kimeandikwa kwa ustadi mkubwa. Kitabu hiki kinawalenga watoto wanaoanza kukamaa kwa lugha no fasihi. Kinaburudisha na kuwahimiza watoto kukuza vipaji vyao.
ISBN: 9789966788174
Huu ni mkusanyiko wa hadithi kumi na mbili, zenye mafunzo sufufu katika jamii ya leo. Ni hadithi ambazo zitakufanya uache kula pilau kwa samaki ili uzisome kwanza! utakapokuwa ukizisoma, zitakufanya usahau ulikuwa na mlo mezani kutokana na ucheshi uliomo. Hadithi hizi zinanuia kuwafundisha wanafunzi maadili ili wajenge mustakabali.
ISBN: 9789966140029
Kuku has laid six eggs. She is afraid that animals might steal her eggs. Then she will not have six chicks. She comes up with a plan that scares away her enemies.
Read the captivating story to find out how Kuku’s clever plan.
This is an interesting story that encourages readers to think critically when confronted with a problem.
ISBN: 9789966075901
What do you do when you make a mistake? Sam and his friends are playing football near Mrs Otin’s house. By mistake, their ball breaks Mrs Otin’s window pane. What will they do?
ISBN: 9789966346513
Ali ni mwanafunzi wa Darasa la Kwanza. Mahali anakoishi kuna vitu vya aina nyingi. Vitu hivyo vina rangi mbalimbali. Ali anazipenda rangi hizo. Ungana na Ali katika kitabu hiki. Utajua vitu na rangi zake.
ISBN: 9789966342676
Reviews
There are no reviews yet.