Queenex English Activities Grade 5 (Approved) by AGOLA
KSh606.00 Original price was: KSh606.00.KSh545.00Current price is: KSh545.00.
ISBN: 9780195749106
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
EAEP Super Minds Music Workbook Grade 5 by J. Mutaaru and S. Adoyo
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartSuper Minds Music Grade 5 Workbook, has been uniquely written to provide knowledge as well as nurture the musical talents in the learners. This Workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in the Super Minds Workbooks Series has been well-researched and creatively written to enable learners to acquire the required competencies, skills, values pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
This Music Workbook:
• has introduction and summary sections in each sub-strand
• uses a simple approach to language and presentation that is easy to follow.
• has a variety of competency-based, learner-centered activities that help a learner to develop a wide range of skills.
• has relevant, well-drawn, full colour illustrations that complement the questions in the book.
• has instructions to parents, guardians, and teachers to make them involved in the continuous learning process at home and at school.
• has an assessment criterion that helps the teachers, parents, and guardians to be able to assess the learner’s acquisition of the competencies learned at school and at home.
The authors of this workbook are Music teachers with vast experience. Teachers, parents, and guardians will be of great help to the learners as they use this workbook.ISBN: 9789966565730
-
Read more
-Aligned to CBC themes.
-A variety of digital literacy activities.
-Detailed step by step writing guides.
-Writing spaces for practice in each unit.
-Over 25 CBC themed composition samples.
-Writing skills that promote lifelong learning.
-Learner-centered activities to build vocabulary.
-Over 100 composition prompts for further practice.
ISBN: 9789966623980
-
Storymoja Know More Agriculture Grade 5 Learner (Approved) by Story Moja by J. Muinde, F. Sayia, J. Mbutu
KSh577.00Original price was: KSh577.00.KSh520.00Current price is: KSh520.00.Add to cartKnow More Agriculture Learner’s Book for Grade 5 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners to carry out various interactive learning activities.
The book provides learners with opportunities to develop core competencies, values, skills, and attitudes.
Know More Agriculture key features
• A detailed coverage of all the required curriculum design strands and sub-strands.
• Interactive learner-centered learning activities and experiences.
• Learning activities that take care of learners with special needs.
• Well-summarized notes after every topic.
• Use of clear, varied, relevant, and well-captioned illustrations and photographs to support the text.
• Interactive activity-based questions.
• Community service-learning activities that help in building collaborative relationships between the schools and communities.
• Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities.
• Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations. Know More Agriculture Learner’s Book for Grade 5 has been approved by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) for use in schools as course material. It comes along with a detailed Teacher’s Guide. The authors have taught for many years and have vast experience in handling learners of various levels of education.ISBN: 9789966624062
-
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by K. Ngere, M. Kikwanuu, H. Kangai and Walla bin Walla
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 5 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali. Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi:
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake,
• kujiamini na kujithamini,
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo,
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo,
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali.
Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma.
Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.ISBN: 9789966643155








Reviews
There are no reviews yet.