Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi Grade 5
KSh622.00 Original price was: KSh622.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.
Hatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lugha, kusoma na kuandika.
ISBN: 9789966479808
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
MTP Art and Craft Learner’s Grade 5 (Approved) by M. Okumbe and C. Ondieki
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cart• Express feelings, ideas, emotions, and experiences through picture-making activities for self expression.
• Appreciate and apply creative techniques used in indigenous Kenyan crafts within their social context and cultures.• Apply environmental conservation values of re-use and recycle of materials for creative purposes.
• Create Artworks, to share their ideas, thoughts, feelings, and experiences for learning and enjoyment.
• Use technology as a learning tool to explore creative ideas in the process of making artwork.
• Develop self-confidence and sense of achievement through making and responding to artworks of self and others.
• Apply appropriate presentation and exhibition skills in enhancement of their 2D and 3D artworks.ISBN: 9789966822789
-
MTP Agriculture Learner’s Grade 5 (Approved) by N. Gitonga
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartBy the end of upper primary, the learner should be able to:
• Participate actively in agricultural activities for environmental conservation.
• Use scarce agricultural resources through innovative practices to contribute towards food security.
• Rear small domestic animals as a profitable agricultural enterprise for self-sustainability and economic development.
• Apply technological skills, digital and media resources to enhance sustainable agricultural practices.
• Appreciate agriculture as a worthy niche for hobby, career development, further education and training.ISBN: 9789966822741
-
EAEP Super Minds English Workbook Grade 5 by J. Maina, A. Ngigi and C. Kimeu
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartSuper Minds English Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop proficiencies in the learner. This workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well-researched and creatively written to enable the learner to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
This English Workbook:
• has been uniquely written to develop oral, reading, and writing skills, as well as competencies in grammar use
• uses a simple approach to language that is to the level of the learner
• has reflection questions at the beginning of each strand to stimulate the learner’s mind
• has a wide variety of practice questions to help the learner grasp a broad range of concepts in the English language
• is creatively designed to enable the learner to write all answers to the questions in the workbook spaces easily
• has attractive, well-drawn, full colour illustrations that will arouse a learner’s desire to learn
The authors of this workbook are teachers of English with vast experience. This workbook should be used alongside the Super Minds English Learner’s Book for Grade 5.ISBN: 9789966565785
-
Storymoja Know More Agriculture Grade 5 Learner (Approved) by Story Moja by J. Muinde, F. Sayia, J. Mbutu
KSh577.00Original price was: KSh577.00.KSh520.00Current price is: KSh520.00.Add to cartKnow More Agriculture Learner’s Book for Grade 5 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners to carry out various interactive learning activities.
The book provides learners with opportunities to develop core competencies, values, skills, and attitudes.
Know More Agriculture key features
• A detailed coverage of all the required curriculum design strands and sub-strands.
• Interactive learner-centered learning activities and experiences.
• Learning activities that take care of learners with special needs.
• Well-summarized notes after every topic.
• Use of clear, varied, relevant, and well-captioned illustrations and photographs to support the text.
• Interactive activity-based questions.
• Community service-learning activities that help in building collaborative relationships between the schools and communities.
• Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities.
• Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations. Know More Agriculture Learner’s Book for Grade 5 has been approved by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) for use in schools as course material. It comes along with a detailed Teacher’s Guide. The authors have taught for many years and have vast experience in handling learners of various levels of education.ISBN: 9789966624062








Reviews
There are no reviews yet.