Muddy Muddy Wedding by KIE
KSh256.00 Original price was: KSh256.00.KSh230.00Current price is: KSh230.00.
ISBN: 9780195729092
Related products
-
Ahaa! Roda by Nyambeka
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartRoda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
-
Stories from Maasai land by Ole Munke
KSh322.00Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to carthe Maasai is a community with a very rich culture and history.
The seven stories in this collection are just but part of the many that were told to children as they sat with their grandparents around the fireplace after the evening meal in their bread shaped houses. The author weaves them with the skill that makes them as relevant today as they were those many years ago. They are targeted at learners seeking to improve language
skills and learn about African cultures
David Ole Munke is a lecturer at Maasai Mara University and author of The Maasai Language:
an introduction and five other e-books all with a Maasai culture theme. He Uves with his family near the world
famous Maasai Mara game reserve in Narok County and has over ten years’ experience working as a community development officer among the Maasai.
.ISBN: 9789966140005
-
A Wild Kick by Diane Omondi
KSh255.00Original price was: KSh255.00.KSh230.00Current price is: KSh230.00.Add to cartWhat do you do when you make a mistake? Sam and his friends are playing football near Mrs Otin’s house. By mistake, their ball breaks Mrs Otin’s window pane. What will they do?
ISBN: 9789966346513
-
Siri ya baba yangu kitabu cha kwanza by Yahya Mutuku
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartNi wakati wa usiku, usiku wa mashetani wakati kijana Fadhili anapozinduka na kumfumania baba yake akiufunga mlango wa chumba chake. Ni baba anayetekeleza mpango wa siri asiofaa kuujua Fadhili.
Fadhili anaamua kukitegua kitendawili cha tukio hilo kwa kujiingiza katika hatari zisizo kifani. Hii ni mojawapo ya hadithi ambayo imefumwa ikafumika mfumo ambao utamshangaza yeyote atakayeisoma.ISBN: 9789966075604
-
Mti wa Ajabu by Nyambura Mpesha
KSh228.00Original price was: KSh228.00.KSh205.00Current price is: KSh205.00.Add to cartKatika nchi ya Tofali, paliondokea mti ambao ulishangaza kila mtu. Alfajiri, majani ya mti huo yaligeuka rangi na kuwa ya buluu, mchana yakawa ya kijani, alasiri yakawa njano, jioni yakawa ya hudhurungi na meusi usiku. Jinsi mti huo ulivyokua kwa kimo, ndivyo ulivyopanuka. Mti huo ulitisha. Hakuna mtu aliyethubutu kuukaribia.Siku moja vijana wawili wakakamavu waliamua kuukaribia. Je, waliangamizwa na mti huo wa ajabu au walirudi kijijini wakiwa wazima?
ISBN: 9789966342508







Reviews
There are no reviews yet.