Sale!
Sale!
Sorry Mother 2c by Oxford
Original price was: KSh278.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00.
ISBN: 9780195729047
Category
KSh278.00 Original price was: KSh278.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00.
ISBN: 9780195729047
Katika nchi ya Tofali, paliondokea mti ambao ulishangaza kila mtu. Alfajiri, majani ya mti huo yaligeuka rangi na kuwa ya buluu, mchana yakawa ya kijani, alasiri yakawa njano, jioni yakawa ya hudhurungi na meusi usiku. Jinsi mti huo ulivyokua kwa kimo, ndivyo ulivyopanuka. Mti huo ulitisha. Hakuna mtu aliyethubutu kuukaribia.Siku moja vijana wawili wakakamavu waliamua kuukaribia. Je, waliangamizwa na mti huo wa ajabu au walirudi kijijini wakiwa wazima?
ISBN: 9789966342508
Mother has cooked a lot of maandazi. They are for visitors. Debo feels that the maandazi are hers. Will Debo let the visitors eat the maandazi?
ISBN: 9789966347879
Ali ni mwanafunzi wa Darasa la Kwanza. Mahali anakoishi kuna vitu vya aina nyingi. Vitu hivyo vina rangi mbalimbali. Ali anazipenda rangi hizo. Ungana na Ali katika kitabu hiki. Utajua vitu na rangi zake.
ISBN: 9789966342676
Kuku leaves her six chicks alone in the hut. She goes to buy food at the market.
The naughty chicks wander outside. Unfortunately, an enemy awaits them in the tree. How do they escape?
This is an interesting story that encourages readers to appreciate their neighbours and friends.
The story also warns readers to listen to advice.
ISBN: 9789966075703
Wwesonga Ongulu hates just being an ordinary boy like his brother. He believes he is actually THUNDER itself roaring up there in the skies, and therefore goes out to do things that lesser boys cannot dare. Will he succeed? Find out what he does to live up to his thunderous name… and the thunderous trouble he finds himself int
Reviews
There are no reviews yet.