Sale!
Sale!
Sorry Mother 2c by Oxford
Original price was: KSh278.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00.
ISBN: 9780195729047
Category
KSh278.00 Original price was: KSh278.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00.
ISBN: 9780195729047
Roda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
Ni wakati wa usiku, usiku wa mashetani wakati kijana Fadhili anapozinduka na kumfumania baba yake akiufunga mlango wa chumba chake. Ni baba anayetekeleza mpango wa siri asiofaa kuujua Fadhili.
Fadhili anaamua kukitegua kitendawili cha tukio hilo kwa kujiingiza katika hatari zisizo kifani. Hii ni mojawapo ya hadithi ambayo imefumwa ikafumika mfumo ambao utamshangaza yeyote atakayeisoma.
ISBN: 9789966075604
What do you do when you make a mistake? Sam and his friends are playing football near Mrs Otin’s house. By mistake, their ball breaks Mrs Otin’s window pane. What will they do?
ISBN: 9789966346513
Nekesa’s life is in a whirl when she receives a letter from Jimmy,
the boy in Form 3 from a rich background. Every girl appears to be keen on Jimmy.
Unknown to her, Jimmy’s move is a scheme by forces intent on seeing her and her family go into ruins.
What will she do, and what does Jimmy’s letter portend for her future?
Charles O. Okoth is a teacher at Butula Boys High School. He was one of the three winners of the
Burt Award for African Literature in 2015 and was shortlisted for the same award in 2018.
He has authored several acclaimed works of poetry and fiction including Fools’ Express,
The Adventures of Thunder and Thunder in Love.
ISBN: 9789970398171
Ali ni mwanafunzi wa Darasa la Kwanza. Mahali anakoishi kuna vitu vya aina nyingi. Vitu hivyo vina rangi mbalimbali. Ali anazipenda rangi hizo. Ungana na Ali katika kitabu hiki. Utajua vitu na rangi zake.
ISBN: 9789966342676
Reviews
There are no reviews yet.