High Flyer Combined Encyclopaedia GD1 by Maweu
KSh1,055.00 Original price was: KSh1,055.00.KSh950.00Current price is: KSh950.00.
High Flyer Combined Encyclopaedia GD1
ISBN: 9789966057945
Related products
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 1 (Approved)
KSh311.00Original price was: KSh311.00.KSh280.00Current price is: KSh280.00.Add to cart
KLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 1 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652324
-
Bookmark Environmental Activities Grade 1
KSh422.00Original price was: KSh422.00.KSh380.00Current price is: KSh380.00.Add to cartEnvironmental Activities Grade 1 is part of a new course especially developed to meet the needs of the Basic Education Curriculum Framework.
The Learner’s Book offers:
full compliance with the new competence-based curriculum
varied learning activities aimed at developing the core competences and specific learning outcomes identified for Early Years Education
– colourful illustrations and photographs that capture the attention of the learner and help the learner engage with the content
– content presented in clear and simple English, at the level of the learner.The Teacher’s Guide contains:
– useful background information for the teacher
– teaching guidelines and hints on how to teach concepts well
– answers to all activities in the Learners Book
– suggestions for remedial and extension learning.This course has been approved for use in schools by the Kenya Institute of Curriculum Development.
ISBN: 9781776002955
-
-
KLB Visionary English Activities Grade 1
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartKLB Visionary English Activities for Grade 1 is a learning area that aims at instilling in the learners the ability to become active listeners and speakers at their level. The learner through engagement becomes confident in expressing their feelings, ideas and opinions. The workbook has been developed in line with the requirements of the new Competency-Based Curriculum and subject design.
The text is presented in a simple concise language appropriate to the level of the learner. The style is also simple, making it highly readable and learners will find it easy to understand. The book contains full-colour illustrations designed to hold the attention of the learners.
The workbook has employed a learner-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge and application to real life situations. Every lesson has something to draw from day-to-day occurrences. The Learner’s Workbook has numerous practical activities for all topics and at the end of every lesson to enable the learner practise learning on their own.ISBN: 9789966652492
-
EAEP Akili pevu Kiswahili Angaza Gredi 1 (Approved)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562821








Reviews
There are no reviews yet.