Alomo the Robin 3h by Frank Odoi
KSh228.00 Original price was: KSh228.00.KSh205.00Current price is: KSh205.00.
ISBN: 9789966255594
Related products
-
Uchochole si Kilema by Nyambu
KSh244.00Original price was: KSh244.00.KSh220.00Current price is: KSh220.00.Add to cartKulanga alizaliwa katika maingira magumu yasiyosikika wala kutajika.
Hali hii haikulua ndoto yake ya kufanikiwa Tabia njema na bidii yake
zilimfanya aheshimike na walimu pamoja na wenzake shuleni
Wavyele wake walipoipa dunia kisogo, ilionekana kana kwamba hataweza kufikia ile ndoto ya ajabu aliyokuwa nayo.
Mfadhili wake anauawa kwa sumu na kisha mke wa mfadhili kukatisha ufadhille kijana huyu atafanyaje i kufanikiwa
maishani na kuifikia ndoto yake?ISBN: 9789966075260
-
Maajabu ya Sudi by Mbagga
KSh244.00Original price was: KSh244.00.KSh220.00Current price is: KSh220.00.Add to cartSudi ni mvulana aliye na sifa za kiajabuajabu tangu anapozaliwa. Anazaliwa usiku wa manane, anatabasamu na ana sura jamali. Anapoanza kukua, anawashangaza wazazi na ndugu zake kwa jinsi anavyoelewa na kufanya mambo kwa haraka tofauti na watoto wengine. Vitendo vya Sudi pia vinawashangaza wanakijiji. Mambo mengi anayoyafanya Sudi yanawafanya watu kuamini kuwa yeye si mvulana wa kawaida. JE, Ni mambo yapi anayoyafanya Sudi na yanayowashangaza wengi?
ISBN : 9789966342690
-
Stories from Maasai land by Ole Munke
KSh322.00Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to carthe Maasai is a community with a very rich culture and history.
The seven stories in this collection are just but part of the many that were told to children as they sat with their grandparents around the fireplace after the evening meal in their bread shaped houses. The author weaves them with the skill that makes them as relevant today as they were those many years ago. They are targeted at learners seeking to improve language
skills and learn about African cultures
David Ole Munke is a lecturer at Maasai Mara University and author of The Maasai Language:
an introduction and five other e-books all with a Maasai culture theme. He Uves with his family near the world
famous Maasai Mara game reserve in Narok County and has over ten years’ experience working as a community development officer among the Maasai.
.ISBN: 9789966140005
-
Vituko vya Panya: Panya mjanja mtegoni by Yahya Mutuku
KSh211.00Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.Add to cartPanya Mjanja Mtegoni ni kitabu cha tatu katika msururu wa Vituko vya Panya. Panya Mjanja, kwa mara nyingine, anadhihirisha kwamba ujanja wake ungalipo. Amefungiwa mtegoni kwa tamaa yake. Je, atafaulu kujinasua?”
ISBN: 9789966788689
-
Ngano za Mashairi
KSh289.00Original price was: KSh289.00.KSh260.00Current price is: KSh260.00.Add to cartNgano za mashairi ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kuchangamsha. Kila hadithi inafuatwa na shairi rahisi la kusisitiza yaliyosimuliwa. Pamoja na kuburudisha hadithi zilizomo zinato Mfunzo muhimu kwa wasomaji.
ISBN : 9789966342386








Reviews
There are no reviews yet.