Moran CBC Breakthrough Art and Craft Workbook Grade 5 by Moran
KSh544.00 Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.
CBC Breakthrough Workbook Grade 5 Art and Craft is a one-stop source of extended learning activities- based on the Competency Based Curriculum. The workbook is a curriculum companion aimed at supporting the learner to develop skills and concepts in Art and Craft. The activities address each specific learning outcome.
ISBN: 9789966633378
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by K. Ngere, M. Kikwanuu, H. Kangai and Walla bin Walla
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 5 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali. Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi:
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake,
• kujiamini na kujithamini,
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo,
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo,
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali.
Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma.
Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.ISBN: 9789966643155
-
Longhorn Agriculture Learner’s Book Grade 5 (Approved) by P.Sigei, D. Kemei, B. Ndumia
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Agriculture Grade 5 Learner’s Book is a book that comprehensively and exhaustively covers the new CompetencyBased Agriculture Curriculum for Grade 5. It promotes the acquisition of core competences, relevant social skills, positive attitudes, and values. It also promotes the practical application of knowledge gained in the classroom.
The content in the book is based on the general experiences of the learner as well as Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) covered in the curriculum. The book promotes social skills and values through activities and tasks which are organised within content areas, and that reflect the learner’s environment and social realities in a simple but thought-provoking way.
The activities and tasks also promote critical thinking and problem-solving skills as well as the acquisition of important life skills among learners for a quick and careful response to challenges in society.ISBN: 9789966643216
-
OUP Let’s Do Mathematics Learner Grade 5 (Approved)
KSh605.00Original price was: KSh605.00.KSh545.00Current price is: KSh545.00.Add to cartLet’s Do Mathematics Learner’s Book, Grade 5
Let’s Do Mathematics is a new series for the Competency-Based Curriculum. It is specially written to provide practical experiences that equip learners with knowledge and skills that will enable learners to develop a positive attitude towards mathematics as a learning area and also appreciate its importance in their everyday life. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at enabling learners to acquire the core competencies and values as well as embrace the pertinent and contemporary issues (PCIS).
Let’s Do Mathematics Learner’s Book Grade 5 has:
• Numerous interactive activities to enable learners to acquire
practical skills to solve problems in their environment.
• Think and Do sections that comprehensively guides learners on how to tackle various problems in mathematics.
• Challenge sections aimed at bringing out critical thinking and problem-solving skills in learners.
• Home tasks to allow learners to engage family and the community in the learning process.
• Digital corner sections that allow learners to apply digital technology in learning.Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new Competency-Based Curriculum.
ISBN: 9780195749076
-
MTP Agriculture Learner’s Grade 5 (Approved) by N. Gitonga
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartBy the end of upper primary, the learner should be able to:
• Participate actively in agricultural activities for environmental conservation.
• Use scarce agricultural resources through innovative practices to contribute towards food security.
• Rear small domestic animals as a profitable agricultural enterprise for self-sustainability and economic development.
• Apply technological skills, digital and media resources to enhance sustainable agricultural practices.
• Appreciate agriculture as a worthy niche for hobby, career development, further education and training.ISBN: 9789966822741








Reviews
There are no reviews yet.