Mentor English Literacy Grade 1
KSh505.00 Original price was: KSh505.00.KSh455.00Current price is: KSh455.00.
Related products
-
EAEP Akili pevu Kiswahili Angaza Gredi 1 (Approved)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562821
-
-
Read more
Spotlight CRE Activities Learner’s Book Grade I has been uniquely designed to greatly benefit Primary One learners in handling New Curriculum CRE Activities. It comprehensively covers Primary 1 CRE Acoviaes Curriculum Design as per the Competency-based Curriculum introduced by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) M 2017 It is presented in a clear. simple and precise language that makes learning interesting.
ISBN: 9789966571724 -
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 1 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 1. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630520
-
Storymoja Know More Music Grade 1
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartKnow More Music Learner’s Activity Book for Grade is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners carry out various interactive learning activities.
The book provides learners with opportunities to develop core competencies, values, skills and attitudes.
ISBN: 9789966623737







Reviews
There are no reviews yet.