Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book
KSh544.00 Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.
ISBN: 9789914987195
Related products
-
Storymoja Giza la Muda by Storymoja
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartNana anahudhuria sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa chanda na pete, Judi. Huko, anakutana na mwigizaji maarufu ambaye ameigiza kama mhusika mkuu katika kipindi cha runinga kinachowalenga vijana. Papo hapo, Nana anapiga urafiki na mvulana huyo maarufu; urafiki ambao unaishia kuwa majuto.
Giza la Muda ni hadithi inayoangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana katika jamii na jinsi ya kukabiliana nazo. Changamoto hizo ni kama vile ushawishi wa marika na mimba za mapema.
ISBN: 9789966623638
-
Mwongozo ya Mapambazuko ya Machweo (Globalink) by Globalink
KSh544.00Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00. -
Shani katika njia panda by Story Moja
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartShani anakumbwa na furaha ya kupindukia rafiki yake, Jaki, anapomchagua kuandamana naye hadi Afrika Kusini.
Mjomba wa Jaki anajitolea kugharamia ziara hiyo. Hata hivyo, mamake Shani anashuku nia ya Mjomba kumpeleka mwanawe
Afrika Kusini. Mama anajaribu kumshawishi Shani kupuuza pendekezo hilo kwa kumwekea vikwazo. Shani aliye na hamu kuu
kwenda ughaibuni anakwea vikwazo vyote hadi mzazi wake anamkubalia kwenda Afrika Kusini. Mbona Mama Shani anashuku
ukarimu wa Mjomba? Soma hadithi ufumbue fumbo.ISBN: 9789966066800
-
Shades of Life by Pasomi Mucha
KSh733.00Original price was: KSh733.00.KSh660.00Current price is: KSh660.00.Add to cartShellsea Kego has had everything going for her. She has known nothing less than a Royal upbringing. Fancy schools, expensive holidays and all that vast wealth can buy have been the summary of the life of this young girl. Snobbish and with a keen sense of class, she mingles with the high and mighty, in whose league her rich mother luxuriates. Her fairy-tale kind of life comes tumbling down like a pack of cards when her mother drives her to what strikes her as a godforsaken ghost of a school in the middle of nowhere. “You can’t leave me in this terrible place! I cannot survive this! I will be miserable and end up failing!” Shellsea protests. “It’s for your own good.” her mother insists, as if to rub salt into her wound.
ISBN: 9780195736106
-
Football Fan 3l by Muitungu
KSh255.00Original price was: KSh255.00.KSh230.00Current price is: KSh230.00.Add to cartThe NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. There are twelve storybooks for each class specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern child an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the child has fun that’s built to last.
ISBN: 9780195734287








Reviews
There are no reviews yet.