Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book
KSh544.00 Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.
ISBN: 9789914987195
Related products
-
The Samaritan-Setbook by John Lara
KSh522.00Original price was: KSh522.00.KSh470.00Current price is: KSh470.00.Add to cartThe Samaritan tells the story of two students in maracas municipality who develop a mobile App called The Samaritan-an online platform for whistleblowing as well as sharing ideas and information enhancing public welfare.Soon,the App is flooded with damning information about the unparalleled corruption,malfeasance,and political capture perpetrated by Maracas municipal leader.
ISBN: 9789966657534
-
Shani katika njia panda by Story Moja
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartShani anakumbwa na furaha ya kupindukia rafiki yake, Jaki, anapomchagua kuandamana naye hadi Afrika Kusini.
Mjomba wa Jaki anajitolea kugharamia ziara hiyo. Hata hivyo, mamake Shani anashuku nia ya Mjomba kumpeleka mwanawe
Afrika Kusini. Mama anajaribu kumshawishi Shani kupuuza pendekezo hilo kwa kumwekea vikwazo. Shani aliye na hamu kuu
kwenda ughaibuni anakwea vikwazo vyote hadi mzazi wake anamkubalia kwenda Afrika Kusini. Mbona Mama Shani anashuku
ukarimu wa Mjomba? Soma hadithi ufumbue fumbo.ISBN: 9789966066800
-
Mwongozo wa Bembea ya Maisha (Climax)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.Add to cartMwongozo huu wa tamthilia ya Bembea unajumulisha vijitabu vitatu.
1.Mwongozo wenyewe wa Tamthilia ya Bembea.
2. Ushauri kwa mwanafunzi kuhusu jinsi ya kujibu ya kiswahili ya KCSE.
3. Mifano ya Maswali na majibu mwafaka
ISBN: 9782199766806
-
Parliament of Owls – Set Book by Adipo Sidang’
KSh567.00Original price was: KSh567.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartAdipo Sidang’ is a Kenyan award-winning poet and playwright. His Young Adult novella, A Boy Named Koko, won the 2017 Burt Award for African Young Adult Literature (Kenya). It was also shortlisted for the Burt Award for African Young Adult Literature (Africa) the same year, and the Jomo Kenyatta Prize for Literature in 2019. Sidang’ is passionate about art, its policy and governance setting. He has previously taught Philosophy in Kenyan universities.
Parliament of Owls, his first collection of poems, was published in 2016 by Native Intelligence under the Contact Zones Nairobi Series. He later adapted the title poem into a stage play, which was performed in Kenya in 2017 by his theatre group, Agora Theatre. The play is now published as Parliament of Owls: A Play.
ISBN: 9789966566409
-
Bembea ya Maisha – Set Book by Timothy M Arege
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartBembea ya Maisha ni hadithi kuhusu Yona na mkewe Sara pamoja na Bunju na mkewe Neema. Wahusika hawa wanajikuta katika vuta n’kuvute inayochochewa na mitazamo ya kitamaduni, uhalisia wa mambo pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera, imani, ushirikiano, upendo, kutanabahi na mshikamano. Katika huu mseto wa mambo ipo sauti imara ya Sara inayosikika ikihimiza na kuzindua. Sauti inayoiona kila hali mfano wa bembea.
ISBN: 9789966194534








Reviews
There are no reviews yet.