Sale!
Sale!
Binti yake Simba 3a by Islam
Original price was: KSh278.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00.
ISBN: 9780195730647
Category
KSh278.00 Original price was: KSh278.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00.
ISBN: 9780195730647
Wendo Wanani is a pupil at Kaptiket Primary school in Kericho County.
She has never been to Nairobi. She takes part in an essay writing competition titled ‘Kenya, my Beautiful Land,
and is invited to Nairobi for the finals.
Together with nine other pupils from different schools across the country,
Wendo’s reward is to tour the city under the sun – Nairobi. From parks to statues,
museums to roads she has never heard about, Wendo is on a discovery mission.
ISBN: 9789966140104
Panya Mjanja Mtegoni ni kitabu cha tatu katika msururu wa Vituko vya Panya. Panya Mjanja, kwa mara nyingine, anadhihirisha kwamba ujanja wake ungalipo. Amefungiwa mtegoni kwa tamaa yake. Je, atafaulu kujinasua?”
ISBN: 9789966788689
Roda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
This is a story about a girl who did not like to comb her hair.
The little girl’s hair grows into a big knot. The knot is so big that Owl and some other animals move in and make a home. The girl’s friends all run away because the Owl is always hooting and tooting.
How will the little girl get rid of all the animals in her hair?
This interesting story teaches the reader about the importance of keeping hair neat and clean.
ISBN: 9789966075987
Tuliondoka pale maziarani, mama akiwa mbele yetu kuongoza rubaa hadi kiamboni.Nilimtazama alivyotembea. Alikuwa mnyonge, gofu la mtu, kabaki mitulinga ,nyonga na fuvu la kichwa. Alikuwa mnyonge mfano wa sabatele changaraweni. Tulitembea guu bandika guu bandua. Kimya. Unywele ungalianguka, ungaliusika
Siku hii naikumbuka kama jina langu…..
ISBN : 9789966342355
Reviews
There are no reviews yet.