Kurunzi ya Insha gredi ya 4 na 5 by Francis Wangome
KSh800.00 Original price was: KSh800.00.KSh720.00Current price is: KSh720.00.
Kurunzi ya Insha Darasa la 4 na 5
ISBN: 9789966002679
Related products
-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by K. Ngere, M. Kikwanuu, H. Kangai and Walla bin Walla
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 5 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali. Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi:
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake,
• kujiamini na kujithamini,
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo,
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo,
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali.
Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma.
Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.ISBN: 9789966643155
-
OUP Everyday Science and Technology Learner Grade 5 (Approved) by J. Odhiambo, L.Chimba, J. Mwende, P. Mumo and W. Nyabera
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartEveryday Science and Technology Learner’s Book, Grade 5
Everyday Science & Technology is a new series for the Competency-Based Curriculum. It is specially written to provide practical experiences that equip learners with knowledge and skills that will enable learners to develop a positive attitude towards Science & Technology as a learning area and also appreciate its importance in their everyday life. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating The activities are aimed at enabling learners to acquire the core competencies and values as well as embrace the pertinent and contemporary issues (PCIS).Everyday Science & Technology Learner’s Book Grade 5 has:
• Numerous interactive activities to enable learners to acquire practical skills to solve problems in their environment.
• Think about these sections aimed at bringing out critical thinking and problem-solving skills in learners.
• Home tasks to allow learners to engage family and the community in the learning process.
• Digital corner sections that allow learners to apply digital technology in learning.
• My dictionary sections to enable learners to acquire new scientific vocabulary.
Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new Competency-Based Curriculum. Oxford, your companion for success! Everyday Everyday Everyday
ISBN: 9780195749250
-
EAEP Super Minds Science and Technology Learner’s Book Grade 5 (Approved) by J. Charana, R. Mui, E. Osugo
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartSuper Minds Science and Technology Grade 5 Learner’s Book comprehensively covers the Science and Technology content in the new competency-based curriculum for primary schools. This book has been developed to enable learners to apply their talents and skills to their daily living. The book is presented in a simple manner that learners can identify with. At this level, learners will enjoy using it as the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge.
The key features of this book include the following:
• A simple approach to language and presentation that is easy to follow;
• Relevant, well-drawn, full colour illustrations;
• A variety of competency-based, learner-centered activities that help the learners to develop a wide range of skills;
• Suggestions for parents or guardians and teachers to be involved in the continuous learning process at home and in the community;
• Suggestions for locally available resources that help the learners to perform the activities in the book;
• Indoor and outdoor activities that learners do individually, in pairs, in groups, and as a class as they help each other to learn.
The book has an accompanying Teacher’s Guide. The authors are Science and Technology teachers with vast experience.ISBN: 9789966564580
-
Moran Master Science and Technology Learner’s Book Grade 5 (Approved) by A. Olele, F. Wanyonyi, L. Makungu
KSh511.00Original price was: KSh511.00.KSh460.00Current price is: KSh460.00.Add to cartMaster Science and Technology, Grade 5 Learner’s Book is a comprehensive course based on the new competency-based, curriculum, which uses simple language to guide the learner to learn different concepts in science and technology.
This book contains appropriate photographs and well-drawn, full-colour, illustrations, which enable the learner to easily, picture what is being taught.
A variety of learner-centred activities, including Community Service Learning activities, are provided to help the learner acquire the necessary skills, attitudes, and values.
This book is a must-have for all Grade 5 learners.
ISBN: 9789966822338








Reviews
There are no reviews yet.