Kiswahili Taaluma kitabu cha Chekechea by Cecilia Wamuyu
KSh388.00 Original price was: KSh388.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.
ISBN: 2010127000162
Related products
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 1 (Approved)
KSh311.00Original price was: KSh311.00.KSh280.00Current price is: KSh280.00.Add to cart
KLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 1 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652324
-
Spear Sharp kids Environmental Act G1
KSh467.00Original price was: KSh467.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartSharp Kids Series is designed to ensure that learners have rigorous activities, exercises and assignments that cover all the learning outcomes for the new competency-based curriculum.
The course books embrace short notes for each topic to aid in recall of course work covered. The notes are followed with numerous topical tasks that evaluate the learner’s competency in each strand, sub-strand; both at home and in school.
This is a course of its kind that will enrich your regular classroom work, making learners enjoy and love school work and life.
ISBN: 9789966581105
-
Longhorn English Literacy Activities Learner’s Book Grade 1
KSh486.00Original price was: KSh486.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartLonghorn English Literacy Activities Grade 1 Learner’s Book is a book based on the new competency-based curriculum. It promotes the acquisition of core competencies, relevant literacy skills, positive attitudes and values by learners. It also promotes practical application of the knowledge gained in class.
Content in the book is based on the general experiences of the learners as well as Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) given in the curriculum. The content is organised in simple but thought-provoking activities that promote critical thinking and problem solving skills as well as acquisition of important life skills among leamers for a responsible response to challenges in the society.
-
Let’s do Mathematics Activities Grade 1 (Approved)
KSh434.00Original price was: KSh434.00.KSh390.00Current price is: KSh390.00.Add to cartLet’s Do Mathematics Activities is a new series specially written to provide practical experiences that support acquisition of numeracy skills for the new competency based curriculum. The books in the series provide a wide range of activities that the learners will find exciting and motivating.
These activities are aimed at acquisition of the core competences, values, and pertinent and contemporary issues (PCIs) as outlined in the curriculum.
ISBN: 9780195747003
-
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 1 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 1. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630520








Reviews
There are no reviews yet.