Sale!
Sale!
ATIENO SKIPS TO THE CITY EAEP
Original price was: KSh300.00.KSh230.00Current price is: KSh230.00.
Category
KSh300.00 Original price was: KSh300.00.KSh230.00Current price is: KSh230.00.
Dafina ya Ushairini diwani yenye kutoa mwanga katika
fani ya ushairi kwa shule za msingi. Huu ni mkusanyiko wa mashairi
mepesi ambayo yametungwa kufundi kwa kuangazia maudhui mapana tangia nidhamu,
maadil, bidii, elimu, mazingira na masuala mengine ibuka.
ISBN: 9789966140180
Ali ni mwanafunzi wa Darasa la Kwanza. Mahali anakoishi kuna vitu vya aina nyingi. Vitu hivyo vina rangi mbalimbali. Ali anazipenda rangi hizo. Ungana na Ali katika kitabu hiki. Utajua vitu na rangi zake.
ISBN: 9789966342676
Kuku has laid six eggs. She is afraid that animals might steal her eggs. Then she will not have six chicks. She comes up with a plan that scares away her enemies.
Read the captivating story to find out how Kuku’s clever plan.
This is an interesting story that encourages readers to think critically when confronted with a problem.
ISBN: 9789966075901
Kuku leaves her six chicks alone in the hut. She goes to buy food at the market.
The naughty chicks wander outside. Unfortunately, an enemy awaits them in the tree. How do they escape?
This is an interesting story that encourages readers to appreciate their neighbours and friends.
The story also warns readers to listen to advice.
ISBN: 9789966075703
Ziara ya Meno Siku ya Meno ni hadithi ya pili katika msururu wa “Mazingira na Afya’.
Kitabu hiki kinashughulikia usafi na afya ya meno. Lengo hili limetimizwa kupitia safari ya akina Baraka na Zawadi.
Njia za kutunza meno na athari za kutoyatunza zimewekwa wazi kupitia majadiliano baina ya wahusika.
Je, wahusika wananufaika mwisho wa kikao?
ISBN: 9789966788849
Reviews
There are no reviews yet.