Sale!
Sale!
Gayo the Footballer 2i by EAEP
Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.
ISBN: 9789966255426
Category
KSh211.00 Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.
ISBN: 9789966255426
Sudi ni mvulana aliye na sifa za kiajabuajabu tangu anapozaliwa. Anazaliwa usiku wa manane, anatabasamu na ana sura jamali. Anapoanza kukua, anawashangaza wazazi na ndugu zake kwa jinsi anavyoelewa na kufanya mambo kwa haraka tofauti na watoto wengine. Vitendo vya Sudi pia vinawashangaza wanakijiji. Mambo mengi anayoyafanya Sudi yanawafanya watu kuamini kuwa yeye si mvulana wa kawaida. JE, Ni mambo yapi anayoyafanya Sudi na yanayowashangaza wengi?
ISBN : 9789966342690
Dafina ya Ushairini diwani yenye kutoa mwanga katika
fani ya ushairi kwa shule za msingi. Huu ni mkusanyiko wa mashairi
mepesi ambayo yametungwa kufundi kwa kuangazia maudhui mapana tangia nidhamu,
maadil, bidii, elimu, mazingira na masuala mengine ibuka.
ISBN: 9789966140180
Ngano za mashairi ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kuchangamsha. Kila hadithi inafuatwa na shairi rahisi la kusisitiza yaliyosimuliwa. Pamoja na kuburudisha hadithi zilizomo zinato Mfunzo muhimu kwa wasomaji.
ISBN : 9789966342386
he Maasai is a community with a very rich culture and history.
The seven stories in this collection are just but part of the many that were told to children as they sat with their grandparents around the fireplace after the evening meal in their bread shaped houses. The author weaves them with the skill that makes them as relevant today as they were those many years ago. They are targeted at learners seeking to improve language
skills and learn about African cultures
David Ole Munke is a lecturer at Maasai Mara University and author of The Maasai Language:
an introduction and five other e-books all with a Maasai culture theme. He Uves with his family near the world
famous Maasai Mara game reserve in Narok County and has over ten years’ experience working as a community development officer among the Maasai.
.
ISBN: 9789966140005
Wwesonga Ongulu hates just being an ordinary boy like his brother. He believes he is actually THUNDER itself roaring up there in the skies, and therefore goes out to do things that lesser boys cannot dare. Will he succeed? Find out what he does to live up to his thunderous name… and the thunderous trouble he finds himself int
Reviews
There are no reviews yet.