
FOCUS ON CRE GRADE 2 FOCUS
KSh365.00
Related products
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh415.00Original price was: KSh415.00.KSh370.00Current price is: KSh370.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
Let’s do Mathematics Activities grade 2 (Approved)
KSh350.00Original price was: KSh350.00.KSh315.00Current price is: KSh315.00.Add to cartLet’s Do Mathematics Activities is a new series specially written to provide practical experiences that support acquisition of numeracy skills for the new competency based curriculum. The books in the series provide a wide range of activities that the learners will find exciting and motivating. These activities are aimed at acquisition of the core competences, …
-
Akili pevu Kiswahili Angaza Kitabu cha Mwanafunzi Grade 2 by Shabaan Otieno, Mziwanda Banda
KSh631.00Original price was: KSh631.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562845
-
Read more
Our Faith Christian Religious Education Activities is a complete course developed to meet the requirements of the Competence-Based Curriculum. The course offers learners appropriate knowledge, skills and attitudes necessary for learning Christian Religious Education Activities as a learning area. The course has been prepared after in-depth research to enable learners acquire the necessary knowledge, skills, values and attitudes. It has plenty of activities that stimulate learning, nurture learners’ faith and talents, make the learning process enjoyable, and instill values and attitudes, based on the teachings of the Holy Bible.
The course:
- Encourages the use of learning materials from the learner’s immediate environment thus giving the learner an opportunity to appreciate the environment
- Has a variety of activities which enable learners to explore and learn
- Covers all the outcomes in the syllabus
- Has activities which integrate the core competences, values, and pertinent and contemporary issues
- Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
ISBN: 9789966630681
-
Moran Skills in English Activities Learner’s book Grade 2
KSh422.00Original price was: KSh422.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartSkills in English is a complete English course developed in line with the Competence-Based Curriculum. The course offers the learners appropriate skills, knowledge, values and attitudes necessary for learning English as a learning area and as a language of communication. The text is presented in a manner that stimulates learning. The course has been prepared after in-depth research. It employs an inquiry-based approach to learning in all activities which equip learners with the necessary competencies. skills and the quest to learn and discover on their own.
The course:
Encourages the use of learning materials from the learner’s immediate environment thus giving the learner an opportunity to learn from what they already know
Has a variety of activities which enable learners to learn and explore
Covers all the outcomes in the syllabus
Has activities which integrate the core competencies. values and pertinent and contemporary issues
Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
Has activities that enable learners to appreciate and improve their community
Has activities which enhance literacy and communication skills.
ISBN: 9789966630667






Reviews
There are no reviews yet.