CONQUER COMPREHENSION WORKBOOK GRADE 2
KSh320.00
Related products
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh415.00Original price was: KSh415.00.KSh370.00Current price is: KSh370.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
Akili pevu Kiswahili Angaza Kitabu cha Mwanafunzi Grade 2 by Shabaan Otieno, Mziwanda Banda
KSh631.00Original price was: KSh631.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562845
-
Moran Skills in English Activities Learner’s book Grade 2
KSh422.00Original price was: KSh422.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartSkills in English is a complete English course developed in line with the Competence-Based Curriculum. The course offers the learners appropriate skills, knowledge, values and attitudes necessary for learning English as a learning area and as a language of communication. The text is presented in a manner that stimulates learning. The course has been prepared after in-depth research. It employs an inquiry-based approach to learning in all activities which equip learners with the necessary competencies. skills and the quest to learn and discover on their own.
The course:
Encourages the use of learning materials from the learner’s immediate environment thus giving the learner an opportunity to learn from what they already know
Has a variety of activities which enable learners to learn and explore
Covers all the outcomes in the syllabus
Has activities which integrate the core competencies. values and pertinent and contemporary issues
Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
Has activities that enable learners to appreciate and improve their community
Has activities which enhance literacy and communication skills.
ISBN: 9789966630667
-
Mentor Mathematical Activities GD2 (Appr)
KSh545.00Original price was: KSh545.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.Add to cartMentor Mathematical Activities Grade 2 workbook is fully in line with the new Competency-Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059727
-
KLB Visionary Ire Activities Grade 2 Learner’s book by Idris Matsukhu Makokha, Miriam Omar, Mwanaidi Lyani Omar, Hamisa Atemba Shabaan, Jumaa Yusufu Kumala
KSh362.00Original price was: KSh362.00.KSh325.00Current price is: KSh325.00.Add to cartIslamic Religious Activities is a learning area aimed at equipping the learner with knowledge, skills, competences and desired attitudes that enhance morals, values and spiritual development. This wilt enable the learner live a morally upright life acceptable in the society. KLB Visionary Islamic Religious ACtivities Grade 2 Learner’s Workbook has been developed in line with the requirements of the new Competency Based Curriculum Design.The experiences have been aligned with the thematic integrated approach that is recommended for learners at this level. This Workbook is also majorly illustrated to enliven the content with the text following the design closely. KLB Visionary Islamic Religious Activities Grade 2 Learner’s Workbook has employed a learner-centered approach where all experiences are centred on the child’s interests, knowledge and application to real life situations in line with the Life Approach Method of teaching Islamic Religious Activities. Learners encounter different situations and gain experience from what happens around them. Therefore, every lesson has something to draw from learner’s day-to-day activities.
ISBN: 9789966652249







Reviews
There are no reviews yet.