Broken Bond by Mureithi
KSh344.00 Original price was: KSh344.00.KSh310.00Current price is: KSh310.00.
ISBN: 9789966348142
Related products
-
Ngano za Mashairi
KSh289.00Original price was: KSh289.00.KSh260.00Current price is: KSh260.00.Add to cartNgano za mashairi ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kuchangamsha. Kila hadithi inafuatwa na shairi rahisi la kusisitiza yaliyosimuliwa. Pamoja na kuburudisha hadithi zilizomo zinato Mfunzo muhimu kwa wasomaji.
ISBN : 9789966342386
-
Mti wa Ajabu by Nyambura Mpesha
KSh228.00Original price was: KSh228.00.KSh205.00Current price is: KSh205.00.Add to cartKatika nchi ya Tofali, paliondokea mti ambao ulishangaza kila mtu. Alfajiri, majani ya mti huo yaligeuka rangi na kuwa ya buluu, mchana yakawa ya kijani, alasiri yakawa njano, jioni yakawa ya hudhurungi na meusi usiku. Jinsi mti huo ulivyokua kwa kimo, ndivyo ulivyopanuka. Mti huo ulitisha. Hakuna mtu aliyethubutu kuukaribia.Siku moja vijana wawili wakakamavu waliamua kuukaribia. Je, waliangamizwa na mti huo wa ajabu au walirudi kijijini wakiwa wazima?
ISBN: 9789966342508
-
Not now, Jimmy boy by Okoth
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartNekesa’s life is in a whirl when she receives a letter from Jimmy,
the boy in Form 3 from a rich background. Every girl appears to be keen on Jimmy.
Unknown to her, Jimmy’s move is a scheme by forces intent on seeing her and her family go into ruins.
What will she do, and what does Jimmy’s letter portend for her future?
Charles O. Okoth is a teacher at Butula Boys High School. He was one of the three winners of the
Burt Award for African Literature in 2015 and was shortlisted for the same award in 2018.
He has authored several acclaimed works of poetry and fiction including Fools’ Express,
The Adventures of Thunder and Thunder in Love.ISBN: 9789970398171
-
Ziara ya Meno by Zawadi
KSh211.00Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.Add to cartZiara ya Meno Siku ya Meno ni hadithi ya pili katika msururu wa “Mazingira na Afya’.
Kitabu hiki kinashughulikia usafi na afya ya meno. Lengo hili limetimizwa kupitia safari ya akina Baraka na Zawadi.
Njia za kutunza meno na athari za kutoyatunza zimewekwa wazi kupitia majadiliano baina ya wahusika.
Je, wahusika wananufaika mwisho wa kikao?ISBN: 9789966788849
-
Ahaa! Roda by Nyambeka
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartRoda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628








Reviews
There are no reviews yet.