Ant’s Clay Castle 5a by Stanley Gazemba
KSh239.00 Original price was: KSh239.00.KSh215.00Current price is: KSh215.00.
ISBN: 9789966257239
Related products
-
Not now, Jimmy boy by Okoth
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartNekesa’s life is in a whirl when she receives a letter from Jimmy,
the boy in Form 3 from a rich background. Every girl appears to be keen on Jimmy.
Unknown to her, Jimmy’s move is a scheme by forces intent on seeing her and her family go into ruins.
What will she do, and what does Jimmy’s letter portend for her future?
Charles O. Okoth is a teacher at Butula Boys High School. He was one of the three winners of the
Burt Award for African Literature in 2015 and was shortlisted for the same award in 2018.
He has authored several acclaimed works of poetry and fiction including Fools’ Express,
The Adventures of Thunder and Thunder in Love.ISBN: 9789970398171
-
Maajabu ya Sudi by Mbagga
KSh244.00Original price was: KSh244.00.KSh220.00Current price is: KSh220.00.Add to cartSudi ni mvulana aliye na sifa za kiajabuajabu tangu anapozaliwa. Anazaliwa usiku wa manane, anatabasamu na ana sura jamali. Anapoanza kukua, anawashangaza wazazi na ndugu zake kwa jinsi anavyoelewa na kufanya mambo kwa haraka tofauti na watoto wengine. Vitendo vya Sudi pia vinawashangaza wanakijiji. Mambo mengi anayoyafanya Sudi yanawafanya watu kuamini kuwa yeye si mvulana wa kawaida. JE, Ni mambo yapi anayoyafanya Sudi na yanayowashangaza wengi?
ISBN : 9789966342690
-
Ahaa! Roda by Nyambeka
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartRoda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
-
Vituko vya Panya: Panya mjanja mtegoni by Yahya Mutuku
KSh211.00Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.Add to cartPanya Mjanja Mtegoni ni kitabu cha tatu katika msururu wa Vituko vya Panya. Panya Mjanja, kwa mara nyingine, anadhihirisha kwamba ujanja wake ungalipo. Amefungiwa mtegoni kwa tamaa yake. Je, atafaulu kujinasua?”
ISBN: 9789966788689
-
Kito apepeta by Rebecca Nandwa
KSh211.00Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.Add to cartKito, msichana mdogo wa shule ya msingi, ana kipawa cha kuimba. Kila apatapo nafasi anakuza kipawa hicho. Mwalimu anapomtafuta mwanafunzi ambaye atamtumbuiza mgeni mkuu, wanafunzi wanamchagua Kito.Je, ataweza jukumu hilo? Kito Apepeta kimeandikwa kwa ustadi mkubwa. Kitabu hiki kinawalenga watoto wanaoanza kukamaa kwa lugha no fasihi. Kinaburudisha na kuwahimiza watoto kukuza vipaji vyao.
ISBN: 9789966788174








Reviews
There are no reviews yet.