Showing 1981–2000 of 2087 results

  • Product on sale
    Tubadilishe Jina

    Tubadilishe Jina

    0 out of 5
    Original price was: KSh650.Current price is: KSh610.

    Ni vipi mtoto mdogo kama Sandra anafahamu maneno kama hayo? Tena maneno ambayo si ya Kiswahili, si ya Kiingereza, si ya lugha za kigeni au za kiasili. Yanatoka wapi? Ni nani waasisi wake? Mzee Jarida alijiuliza baada ya kumsikia mjukuu wake akizungumza. Maswali hayo yalipita akilini mwake haraka na kukaribisha fikra nyingi. ‘Mbona Hivi?’ ni…

  • Product on sale
    Tufani Kali na Hadithi Nyingine 2B (Queenex)

    Tufani Kali na Hadithi Nyingine 2B (Queenex)

    0 out of 5
    Original price was: KSh322.Current price is: KSh290.

    Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii. Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya Pili na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia…

  • Product on sale
    Tujo's Crocodile 4N

    Tujo’s Crocodile 4N

    0 out of 5
    Original price was: KSh300.Current price is: KSh270.

    Here is a reading scheme that offers the modern pupil an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the pupil has fun that’s built to last.
    Other titles for Class Four
    4a Mister Todi
    4b Ken Karo the Champion
    4c A Shocking Landing
    4d Moto Farm
    4e No Escape
    4f Giver her a chance
    4g The King of all fish
    4h A for AIDS
    4j The new boy
    4k Caught in the wax
    41 Home at Last!
    4m Jaribu’s choice

    ISBN: 9780195741810

  • Product on sale
    Tujo's Crocodile 4N oxford

    Tujo’s Crocodile 4N oxford

    0 out of 5
    Original price was: KSh300.Current price is: KSh270.

    Here is a reading scheme that offers the modern pupil an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the pupil has fun that’s built to last. Other titles for Class Four 4a Mister Todi 4b Ken Karo the Champion 4c A Shocking Landing 4d Moto Farm 4e No Escape 4f…

  • Product on sale
    Tujos Crocodile

    Tujos Crocodile

    0 out of 5
    Original price was: KSh350.Current price is: KSh270.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. The storybooks for each grade are specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern child an excellent mix of graded stories all packed with many exciting…

  • Product on sale
    Tumaini la Nimara (Story Moja) by Story Moja

    Tumaini la Nimara (Story Moja) by Story Moja

    0 out of 5
    Original price was: KSh500.Current price is: KSh450.

    MSURURU WA STADI ZA MAISHA WA STORYMOJA Yusufu Miremba ni mwanafunzi mwenye umri wa miaka kumi na miwili nchini Uganda. Mpango wa wanafunzi kuandikiana barua unaanzishwa baina ya shule yao na nyingine nchini Sri Lanka. Kupitia kwa mpango huo, Yusufu anapiga urafiki na Nimara de Silva kwa njia ya kuandikiana barua Genge la wanamgambo linamteka…

  • Product on sale
    Tumbo Lisiloshiba

    Tumbo Lisiloshiba

    0 out of 5
    Original price was: KSh590.Current price is: KSh490.
  • Product on sale
    Tumpare And The Cattle Thief

    Tumpare And The Cattle Thief

    0 out of 5
    Original price was: KSh300.Current price is: KSh215.

    Tumpare has a tree house that looks like an aeroplane. She dreams of being a pilot one day. One night, Tumpare, and her friend, Ciku, see thieves stealing from their parents house. The two girls decide to report the theft to the police. Unfortunately, the two girls are kidnapped by the thieves and locked in…

  • Product on sale
    Tunu Ya Ushairi

    Tunu Ya Ushairi

    0 out of 5
    Original price was: KSh650.Current price is: KSh610.

    ‘Tunu ya Ushairi’ ni mkusanyo wa mashairi ya aina, maudhui na mitindo mbalimbali. Kuna mashairi arudhi, mashairi huru na mashairi picha. Diwani hii ina mashairi ambayo msomaji atajihusisha nayo kwa njia rahisi. Ujumbe wake unapitishwa kwa njia sahili na yenye mguso unaoiacha athari ya kudumu kwa msomaji. Washairi hawakujikita katika mikondo iliyopo tu; wamezuka na…

  • Product on sale
    Turning Point 5h by Kabui

    Turning Point 5h by Kabui

    0 out of 5
    Original price was: KSh327.Current price is: KSh295.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. There are ten readers for each class specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course.

     

    Here is a reading scheme that offers the modern pupil an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the pupil has fun that’s built to last.

    ISBN: 9780195733822

  • Product on sale
    Tuzo la Uaminifu by Story Moja  by Muchemi

    Tuzo la Uaminifu by Story Moja by Muchemi

    0 out of 5
    Original price was: KSh500.Current price is: KSh450.

    Ili kuteuwa kiongozi mpya, simba mzee anawapa kiboko, kifaru na ndovu mtihani tata. Kila mmoja anataka kuwa mshindi na kuteuliwa kiongozi wa jangwani. Nani atashinda ISBN: 9789966620613

  • Product on sale
    Tuzo Ya Baba.

    Tuzo Ya Baba.

    0 out of 5
    Original price was: KSh250.Current price is: KSh190.
  • Product on sale
    Tuzo ya Ujasiri

    Tuzo ya Ujasiri

    0 out of 5
    Original price was: KSh466.Current price is: KSh420.

    Wanafunzi wa darasa la nne wanatembelea mbuga ya wanyama ya Nairobi. Wanaelezwa mengi kuhusu wanyamapori na wawindaji haramu. Hata hivyo, wnavutiwa na kuburudishwa zaidi na vituko vya tumbiri mcheshi. Wanaondoka wakimjadili tumbiri huyo mwenye tabia zinazofanana na binadamu

    Author:
    Pauline Kea
    ISBN: 9789966620095
  • Product on sale
    Twala Wapi Leo

    Twala Wapi Leo

    0 out of 5
    Original price was: KSh450.Current price is: KSh385.

    Tumalize anashangazwa na hatua ya baba yake kuwapa kitu fulani, watu fulani, kila siku asubuhi anapoenda shuleni. Kitendo cha baba yake kinamtia mshawasha wa kutaka kujua ni kitu gani hicho wanachopewa watu wale. Juhudi zake za kutafuta maelezo kutoka kwa baba yake kuhusu kitu hicho na sababu ya yeye kukitoa kwa watu wale zinagonga mwamba….

  • Product on sale
    Twelve Months

    Twelve Months

    0 out of 5
    Original price was: KSh500.Current price is: KSh435.

    Tasha finds herself in a new school courtesy of her father’s corporate ambition. As she struggles to settle in, she nearly ruins her life in a fast-paced staccato occasioned by the company she keeps.

  • Product on sale
    Twelve Months by Ellen Banda-Aaku

    Twelve Months by Ellen Banda-Aaku

    0 out of 5
    Original price was: KSh483.Current price is: KSh435.

    Don DiMarco has a very good life – a family he loves, a comfortable lifestyle, passions and interests that keep him amused. He also thought he had time, but that turned out not to be the case. Faced with news that might have immediately felled most, Don now wonders if he has time enough. Time enough to show his wife the romance he didn’t always lavish on her. Time enough to live out his most ambitious fantasies. Time enough to close the circle on some of his most aching unresolved relationships. Summoning an inner strength he barely realized he possessed, Don sets off to prove that twelve months is time enough to live a life in full.A glorious celebration of each and every moment that we’re given here on Earth, as well as the eternal bonds that we all share, TWELVE MONTHS is a stirring testament to the power of the human spirit.

    ISBN: 9780195736090

  • Product on sale
    Twist of Fate by Odero

    Twist of Fate by Odero

    0 out of 5
    Original price was: KSh355.Current price is: KSh320.

    Tina and her parents are having a time of their lives until they are involved in an accident that leaves her father seriously injured. What will happen to young Tina’s dreams and aspirations? Read this fascinating story to find out how Tina and her mother cope with the unfortunate situation, and how Tina retains her…

  • Product on sale
    Two Short Ropes.

    Two Short Ropes.

    0 out of 5
    Original price was: KSh200.Current price is: KSh120.

    Simba Readers are a fun and fresh way for learners in ECD centres to learn easily. These creative books have pictures that are attractive. These readers are designed to enable the learner to develop word recognition‚ and help them to decode words and identify language patterns.

  • Product on sale
    Uchochole si Kilema by Nyambu

    Uchochole si Kilema by Nyambu

    0 out of 5
    Original price was: KSh244.Current price is: KSh220.

    Kulanga alizaliwa katika maingira magumu yasiyosikika wala kutajika.
    Hali hii haikulua ndoto yake ya kufanikiwa Tabia njema na bidii yake
    zilimfanya aheshimike na walimu pamoja na wenzake shuleni
    Wavyele wake walipoipa dunia kisogo, ilionekana kana kwamba hataweza kufikia ile ndoto ya ajabu aliyokuwa nayo.
    Mfadhili wake anauawa kwa sumu na kisha mke wa mfadhili kukatisha ufadhille kijana huyu atafanyaje i kufanikiwa
    maishani na kuifikia ndoto yake?

    ISBN: 9789966075260

  • Product on sale
    Ufalme wa mende

    Ufalme wa mende

    0 out of 5
    Original price was: KSh322.Current price is: KSh290.

    Ufalme wa Mende ni hadithi ya kusisimua inayolenga kutoa tahadhari dhidi ya kutozingatia usafi.Mzee tabu na mwanawe anayeitwa Mchafu, wanaathirika sana na mende hali inayoletwa  na kutopenda usafi.

    Nyumba ya mzee Tabu imekuwa miliki ya mende.Imetawaliwa na mende. Ufalme wa Mende. Mende hawa wanaleta maangamizi makubwa ya kuatua moyo.kUNATOKEA NINI?

    ISBN: 9789966140210

     

End of content

End of content