Storymoja Cheche za Insha Grade 5 by Storymoja
KSh611.00 Original price was: KSh611.00.KSh550.00Current price is: KSh550.00.
inaakisi Mtaala wa Kiumilisi.
Mazoezi ya ujuzi wa kidyitali.
Mwongozo wa uandishi hatua kwa hatua.
Nafasi za kufanyia mazoezi katika kila sura.
Vielelezo 25 vya insha zinazogusia Mtaala wa Kiumilisi.
Ujuzi wa kuandika unaokuza ujifunzaji endelevu maishani.
Mazoezi ya kukuza msamiati wa mada inayohusika.
Vichocheo zaidi ya 100 vya mazoezi ya kuandika insha bora.
Fursa ya kuchapishs insha yako na kampuni ya storymoja.
ISBN: 9789966623973
Related products
-
Queenex English Activities Grade 5 (Approved) by AGOLA
KSh606.00Original price was: KSh606.00.KSh545.00Current price is: KSh545.00. -
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by K. Ngere, M. Kikwanuu, H. Kangai and Walla bin Walla
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 5 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali. Kitabu hiki kitamwangazia na kumwezesha mwanafunzi:
• kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wenzake,
• kujiamini na kujithamini,
• kuwaza kwa kina na kupata suluhu ya matatizo,
• kuwa raia mwadilifu na mzalendo,
• kutumia vifaa mbalimbali vya kidijitali.
Upekee wa kitabu hiki ni kuwashirikisha wanafunzi kwa kiwango kikubwa katika ujifunzaji. Mlezi pia ameshirikishwa hasa katika mazoezi ya ziada. Mwishoni mwa kila mada kuu kuna zoezi la kuzichangamsha akili za wanafunzi ili kukumbuka waliyosoma.
Kitabu hiki kina mwongozo wa mwalimu ambao utamwelekeza mwalimu katika kutekeleza wajibu wake. Bila shaka, mwanga wa kitabu hiki utaangaza na kukikuza Kiswahili angavu miongoni mwa wanafunzi. Waandishi wa kitabu hiki ni walimu na watahini wenye ujuzi wa kutosha katika ufundishaji wa Kiswahili kwa miaka mingi.ISBN: 9789966643155
-
Longhorn Agriculture Learner’s Book Grade 5 (Approved) by P.Sigei, D. Kemei, B. Ndumia
KSh677.00Original price was: KSh677.00.KSh610.00Current price is: KSh610.00.Add to cartLonghorn Agriculture Grade 5 Learner’s Book is a book that comprehensively and exhaustively covers the new CompetencyBased Agriculture Curriculum for Grade 5. It promotes the acquisition of core competences, relevant social skills, positive attitudes, and values. It also promotes the practical application of knowledge gained in the classroom.
The content in the book is based on the general experiences of the learner as well as Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) covered in the curriculum. The book promotes social skills and values through activities and tasks which are organised within content areas, and that reflect the learner’s environment and social realities in a simple but thought-provoking way.
The activities and tasks also promote critical thinking and problem-solving skills as well as the acquisition of important life skills among learners for a quick and careful response to challenges in society.ISBN: 9789966643216
-
EAEP Super Minds English Workbook Grade 5 by J. Maina, A. Ngigi and C. Kimeu
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartSuper Minds English Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop proficiencies in the learner. This workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well-researched and creatively written to enable the learner to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
This English Workbook:
• has been uniquely written to develop oral, reading, and writing skills, as well as competencies in grammar use
• uses a simple approach to language that is to the level of the learner
• has reflection questions at the beginning of each strand to stimulate the learner’s mind
• has a wide variety of practice questions to help the learner grasp a broad range of concepts in the English language
• is creatively designed to enable the learner to write all answers to the questions in the workbook spaces easily
• has attractive, well-drawn, full colour illustrations that will arouse a learner’s desire to learn
The authors of this workbook are teachers of English with vast experience. This workbook should be used alongside the Super Minds English Learner’s Book for Grade 5.ISBN: 9789966565785
-
EAEP Super Minds Music Workbook Grade 5 by J. Mutaaru and S. Adoyo
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartSuper Minds Music Grade 5 Workbook, has been uniquely written to provide knowledge as well as nurture the musical talents in the learners. This Workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in the Super Minds Workbooks Series has been well-researched and creatively written to enable learners to acquire the required competencies, skills, values pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
This Music Workbook:
• has introduction and summary sections in each sub-strand
• uses a simple approach to language and presentation that is easy to follow.
• has a variety of competency-based, learner-centered activities that help a learner to develop a wide range of skills.
• has relevant, well-drawn, full colour illustrations that complement the questions in the book.
• has instructions to parents, guardians, and teachers to make them involved in the continuous learning process at home and at school.
• has an assessment criterion that helps the teachers, parents, and guardians to be able to assess the learner’s acquisition of the competencies learned at school and at home.
The authors of this workbook are Music teachers with vast experience. Teachers, parents, and guardians will be of great help to the learners as they use this workbook.ISBN: 9789966565730








Reviews
There are no reviews yet.