Product on sale

Shajara yangu ya klabu ya usomaji ya storymoja by Story Moja

Original price was: KSh500.Current price is: KSh450.

Ikiwa unataka kuwa mwerevu zaidi, mjuzi na mwenye kuvutia, soma vitabu vingi zaidi vya hadithi. Ikiwa unapania kuwa mbunifu zaidi ili siku moja uweze kuwa mvumbuzi au mjasiriamali, soma vitabu vingi Zaidi vya hadithi. Ikiwa unataka kazi yenye mapato mazuri na kuchangia katika maendeleo ya taifa katika siku za usoni, soma vitabu vingi zaidi vya hadithi.

 

Jaza shajara yako kila wakati unaposoma. Onyesha wazazi au mlezi shajara yako na uwaambie kuhusu vitabu ambavyo umevisoma. llinganishe shajara yako na za marafiki zako kisha msherehekee usomaji wenu iwapo mmesoma vitabu vingi. Kusoma kunawezesha! Kusoma ni poa. Kusoma kuna manufaa kwako!

MZAZI: SOMA PAMOJA NA MTOTO WAKO

Furahia uhondo wa kusoma pamoja na mtoto wako. Mtoto wako atavipenda vitabu maishani mwake na atajifundisha kwa wepesi endapo utazingatia hoja kumi rahisi zilizoorodheshwa hapa chini.

1. Soma pamoja na mtoto wako katika mazingira yaliyotulia kama vile kwenye chumba cha kulala.

2. Mhimize mtoto wako awe na mazoea ya kusoma hadithi nzima kwa kutumia viziada vya lugha kama vile kupandisha sauti.Asome hadithi nzima kwanza akilenga kuifurahia tu kisha aisome tena ili ajue yaliyomo. |

3. Mhimize mtoto wako ayaashirie maneno kwa vidole hasa anaposoma hadithi aliyokwisha kuisoma awali.

4. Chunguza kama mtoto wako anaelewa aliyoyasoma kwa kumuuliza maswali kuhusu michoro, wahusika na hadithi mara kadhaa.

5. Kuwa na mtazamo chanya kuhusu hatua anayopiga mtoto wako katika usomaji wake. Usimvunje moyo bali umsifu kwa kila hatua anayopiga.

6. Hakikisha kwamba mtoto wako anaisoma hadithi mara kadhaa.

7. Baada ya mtoto wako kuzoea kusoma hadithi fulani, mhimize ajaribu kukusomea baadhi ya maneno ya hadithi hiyo au hadithi nzima.

8. Mnunulie mtoto wako vitabu tofauti tofauti vya kuburudisha kama vile vitabu vya picha, vya kuchekesha na vya kuelimisha.

9. Mwonyeshe mtoto wako kwamba una nia ya kufuatilia na kujua hadithi anazozisoma kwa kumuuliza maswali kuhusu hadithi hizo. Pia mhadithie hadithi ulizosoma kwenye vitabu ulivyo navyo.

10. Uwe kielelezo bora kwa mtoto wako ili avithamani vitabu. Mwache mtoto wako akuone wewe ukisoma vitabu vingi.

ISBN: 9789966621948

  • Check Mark Estimated Delivery : Up to 4 business days
  • Check Mark Free Shipping & Returns : On all orders over $200
  • Visa Card
  • MasterCard
  • American Express
  • Discover Card
  • PayPal
  • Apple Pay
Guaranteed Safe And Secure Checkout

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Shajara yangu ya klabu ya usomaji ya storymoja by Story Moja”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shipping policy

At our Company, we understand the importance of timely delivery. We offer a variety of shipping options to suit your needs, including standard, expedited, and express shipping. Our dedicated team works diligently to process and dispatch your orders promptly, aiming to deliver them to your doorstep within the estimated timeframe.

We strive to provide fast and reliable shipping to our customers. Here’s everything you need to know about our shipping process:

  • Dispatch: Within 24 Hours
  • Free shipping across all products on a minimum purchase of $99.
  • International delivery time 5 to 7 business days
  • Cash on delivery might be available
  • Easy 30 days returns and exchanges

Please note that delivery times are estimates and may vary depending on factors such as product availability, destination, and carrier delay

Returns policy

We want you to be completely satisfied with your purchase from our website. If for any reason you are not entirely happy with your order, we’re here to help. Certain exclusions and conditions may apply, so we encourage you to review our detailed return policy for more information. Rest assured, our goal is to ensure your complete satisfaction with every purchase you make from our website

  1. Returned items must be unused, undamaged, and in the same condition as received.
  2. Original tags, labels, and packaging must be intact and included with the returned item.
  3. Proof of purchase, such as your order confirmation or receipt, is required for all returns.