Sale!
Sale!
Nyumbani Kwetu 1a
Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.
Category
KSh211.00 Original price was: KSh211.00.KSh190.00Current price is: KSh190.00.
Ali ni mwanafunzi wa Darasa la Kwanza. Mahali anakoishi kuna vitu vya aina nyingi. Vitu hivyo vina rangi mbalimbali. Ali anazipenda rangi hizo. Ungana na Ali katika kitabu hiki. Utajua vitu na rangi zake.
ISBN: 9789966342676
Dafina ya Ushairini diwani yenye kutoa mwanga katika
fani ya ushairi kwa shule za msingi. Huu ni mkusanyiko wa mashairi
mepesi ambayo yametungwa kufundi kwa kuangazia maudhui mapana tangia nidhamu,
maadil, bidii, elimu, mazingira na masuala mengine ibuka.
ISBN: 9789966140180
Panya Mjanja Mtegoni ni kitabu cha tatu katika msururu wa Vituko vya Panya. Panya Mjanja, kwa mara nyingine, anadhihirisha kwamba ujanja wake ungalipo. Amefungiwa mtegoni kwa tamaa yake. Je, atafaulu kujinasua?”
ISBN: 9789966788689
Sudi ni mvulana aliye na sifa za kiajabuajabu tangu anapozaliwa. Anazaliwa usiku wa manane, anatabasamu na ana sura jamali. Anapoanza kukua, anawashangaza wazazi na ndugu zake kwa jinsi anavyoelewa na kufanya mambo kwa haraka tofauti na watoto wengine. Vitendo vya Sudi pia vinawashangaza wanakijiji. Mambo mengi anayoyafanya Sudi yanawafanya watu kuamini kuwa yeye si mvulana wa kawaida. JE, Ni mambo yapi anayoyafanya Sudi na yanayowashangaza wengi?
ISBN : 9789966342690
What do you do when you make a mistake? Sam and his friends are playing football near Mrs Otin’s house. By mistake, their ball breaks Mrs Otin’s window pane. What will they do?
ISBN: 9789966346513
Reviews
There are no reviews yet.