Sale!
Sale!
Sungura na Mbwa 4a (EAEP) Sungura na Mbwa 4a (EAEP)
Original price was: KSh233.00.KSh210.00Current price is: KSh210.00.
Category
KSh233.00 Original price was: KSh233.00.KSh210.00Current price is: KSh210.00.
Ngano za mashairi ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kuchangamsha. Kila hadithi inafuatwa na shairi rahisi la kusisitiza yaliyosimuliwa. Pamoja na kuburudisha hadithi zilizomo zinato Mfunzo muhimu kwa wasomaji.
ISBN : 9789966342386
Dafina ya Ushairini diwani yenye kutoa mwanga katika
fani ya ushairi kwa shule za msingi. Huu ni mkusanyiko wa mashairi
mepesi ambayo yametungwa kufundi kwa kuangazia maudhui mapana tangia nidhamu,
maadil, bidii, elimu, mazingira na masuala mengine ibuka.
ISBN: 9789966140180
Kito, msichana mdogo wa shule ya msingi, ana kipawa cha kuimba. Kila apatapo nafasi anakuza kipawa hicho. Mwalimu anapomtafuta mwanafunzi ambaye atamtumbuiza mgeni mkuu, wanafunzi wanamchagua Kito.Je, ataweza jukumu hilo? Kito Apepeta kimeandikwa kwa ustadi mkubwa. Kitabu hiki kinawalenga watoto wanaoanza kukamaa kwa lugha no fasihi. Kinaburudisha na kuwahimiza watoto kukuza vipaji vyao.
ISBN: 9789966788174
Sudi ni mvulana aliye na sifa za kiajabuajabu tangu anapozaliwa. Anazaliwa usiku wa manane, anatabasamu na ana sura jamali. Anapoanza kukua, anawashangaza wazazi na ndugu zake kwa jinsi anavyoelewa na kufanya mambo kwa haraka tofauti na watoto wengine. Vitendo vya Sudi pia vinawashangaza wanakijiji. Mambo mengi anayoyafanya Sudi yanawafanya watu kuamini kuwa yeye si mvulana wa kawaida. JE, Ni mambo yapi anayoyafanya Sudi na yanayowashangaza wengi?
ISBN : 9789966342690
Nekesa’s life is in a whirl when she receives a letter from Jimmy,
the boy in Form 3 from a rich background. Every girl appears to be keen on Jimmy.
Unknown to her, Jimmy’s move is a scheme by forces intent on seeing her and her family go into ruins.
What will she do, and what does Jimmy’s letter portend for her future?
Charles O. Okoth is a teacher at Butula Boys High School. He was one of the three winners of the
Burt Award for African Literature in 2015 and was shortlisted for the same award in 2018.
He has authored several acclaimed works of poetry and fiction including Fools’ Express,
The Adventures of Thunder and Thunder in Love.
ISBN: 9789970398171
Reviews
There are no reviews yet.