Let’s do Mathematics Activities grade 2 (Approved
KSh400.00 Original price was: KSh400.00.KSh360.00Current price is: KSh360.00.
Related products
-
Akili pevu Kiswahili Angaza Kitabu cha Mwanafunzi Grade 2 by Shabaan Otieno, Mziwanda Banda
KSh631.00Original price was: KSh631.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562845
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh415.00Original price was: KSh415.00.KSh370.00Current price is: KSh370.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
Storymoja Know More Hygiene & Nutrition Activities Grade2 by Story Moja by Joy Kasandi & Josephine Kavochi
KSh406.00Original price was: KSh406.00.KSh365.00Current price is: KSh365.00.Add to cartKnow More Hygiene and Nutrition Activities Learner’s Workbook for Grade 2 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners to carry out various interactive environmental learning activities and experiences.This will, in turn, provide learners with opportunities to develop core competences, core values, skills and attitudes.
Key features
• A detailed coverage of all the required curriculum design strands and sub-strands.
• Interactive learner-centred learning activities and experiences.
• Learner-centred activity questions for each learning experience.
• Choice of learning activities that take care of learners with special needs.
• Use of clear, varied, relevant and well-captioned illustrations to support text.
• Interactive activity questions for each learning experience.
• Community service learning activities that help in building collaborative relationships between schools and families.
• Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities.
• Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations.The authors of this book have taught young learners for many years.They have vast and tested experience in handling learners of this level.
ISBN: 9789966621450
-
Storymoja Know More CRE Activities Grade 2 by Story Moja by Rebbeca Makabira & Evaline Cheruiyot
KSh433.00Original price was: KSh433.00.KSh390.00Current price is: KSh390.00.Add to cartKnow More Christian Religious Education Activities Learner’s Workbook for Grade 2 is written in conformity to the new competency-based curriculum designed to assist learners to carry out various interactive learning activities and experiences.This will in turn provide them with opportunities to develop core competences, core values, skills and attitudes. Key features
• A detailed coverage of all the required curriculum design themes and sub-themes.
• Interactive learner-centred Christian Religious Education learning activities and experiences.
• Learner-centred activity questions for each learning experience.
• Choice of learning activities that take care of learners with special needs.
• Use of clear, varied, relevant and well-captioned illustrations to support the text.
• Interactive activity questions for each learning experience.
• Community service learning activities that help in building collaborative relationships between schools and families.
• Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities. Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations.The authors of this book have taught young learners for many years and have a vast excellence in handling learners of this level.
ISBN: 9789966621382
-
Read more
Our Faith Christian Religious Education Activities is a complete course developed to meet the requirements of the Competence-Based Curriculum. The course offers learners appropriate knowledge, skills and attitudes necessary for learning Christian Religious Education Activities as a learning area. The course has been prepared after in-depth research to enable learners acquire the necessary knowledge, skills, values and attitudes. It has plenty of activities that stimulate learning, nurture learners’ faith and talents, make the learning process enjoyable, and instill values and attitudes, based on the teachings of the Holy Bible.
The course:
- Encourages the use of learning materials from the learner’s immediate environment thus giving the learner an opportunity to appreciate the environment
- Has a variety of activities which enable learners to explore and learn
- Covers all the outcomes in the syllabus
- Has activities which integrate the core competences, values, and pertinent and contemporary issues
- Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
ISBN: 9789966630681
Reviews
There are no reviews yet.