KLB Visionary English Literacy Grade 2
KSh390.00 Original price was: KSh390.00.KSh360.00Current price is: KSh360.00.
Related products
-
Akili pevu Kiswahili Angaza Kitabu cha Mwanafunzi Grade 2 by Shabaan Otieno, Mziwanda Banda
KSh631.00Original price was: KSh631.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartKiswahili Angaza ni kazi iliyosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Imetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya mtalaa mpya wenye kuzingatia umilisi, yaani, Competency-Based Curriculum, 2018. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kinazingatia mambo matano muhimu:
1. Kusoma ni kutagusano; wanafunzi wanafanya Shughuli mbalimbali wakiwa peke yao, wawili wawili au katika makundi;
2. Wanafunzi wancionza kilo somo kwa kuelezea picha au hall amo matukio wanayoyafomu huku wakijadiliana;
3. Wanafunzi wanashiriki katika stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambuo, kubainisha, kujenga na kuhakiki;
4. Lugha iliyotumika ni nyepesi mno no isiyokuwa no maneno mogumumagumu no misomiati ya kubaboisha;
5. Mwanafunzi no mwanafunzi mwenzoke, pamoja na mwolimu, mzazi na hata jornii nzimo wanashirikishwa ndani ya kitobu hiki.ISBN: 9789966562845
-
KLB Visionary English Activities Grade 2 Learner’s Workbook (Approved)
KSh509.00Original price was: KSh509.00.KSh460.00Current price is: KSh460.00.Add to cartKLB Visionary English Activities for Grade 2 Learner’s Workbook is a learning area that aims at instilling in the learners the ability to become active listeners and speakers at their level. The learner through engagement becomes confident in expressing their feelings, ideas and opinions. The workbook has been developed in line with the requirements of the new Competency-Based Curriculum and subject design.
The text is presented in a simple concise language appropriate to the level of the learner. The style is also simple. making it highly readable and learners will find it easy to understand. The book contains full-colour illustrations designed to hold the attention of the learners.
The workbook has employed a learner-centred approach where all experiences are centred on the learner’s interests, knowledge and application to real life situations. Every lesson has something to draw from day-to-day occurrences.The Learner’s Workbook has numerous practical activities for all topics and at the end of every lesson to enable the learner practise learning on their own
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh415.00Original price was: KSh415.00.KSh370.00Current price is: KSh370.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
Storymoja Know More Hygiene & Nutrition Activities Grade2 by Story Moja by Joy Kasandi & Josephine Kavochi
KSh406.00Original price was: KSh406.00.KSh365.00Current price is: KSh365.00.Add to cartKnow More Hygiene and Nutrition Activities Learner’s Workbook for Grade 2 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners to carry out various interactive environmental learning activities and experiences.This will, in turn, provide learners with opportunities to develop core competences, core values, skills and attitudes.
Key features
• A detailed coverage of all the required curriculum design strands and sub-strands.
• Interactive learner-centred learning activities and experiences.
• Learner-centred activity questions for each learning experience.
• Choice of learning activities that take care of learners with special needs.
• Use of clear, varied, relevant and well-captioned illustrations to support text.
• Interactive activity questions for each learning experience.
• Community service learning activities that help in building collaborative relationships between schools and families.
• Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities.
• Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations.The authors of this book have taught young learners for many years.They have vast and tested experience in handling learners of this level.
ISBN: 9789966621450
-
Storymoja Know More CRE Activities Grade 2 by Story Moja by Rebbeca Makabira & Evaline Cheruiyot
KSh433.00Original price was: KSh433.00.KSh390.00Current price is: KSh390.00.Add to cartKnow More Christian Religious Education Activities Learner’s Workbook for Grade 2 is written in conformity to the new competency-based curriculum designed to assist learners to carry out various interactive learning activities and experiences.This will in turn provide them with opportunities to develop core competences, core values, skills and attitudes. Key features
• A detailed coverage of all the required curriculum design themes and sub-themes.
• Interactive learner-centred Christian Religious Education learning activities and experiences.
• Learner-centred activity questions for each learning experience.
• Choice of learning activities that take care of learners with special needs.
• Use of clear, varied, relevant and well-captioned illustrations to support the text.
• Interactive activity questions for each learning experience.
• Community service learning activities that help in building collaborative relationships between schools and families.
• Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities. Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations.The authors of this book have taught young learners for many years and have a vast excellence in handling learners of this level.
ISBN: 9789966621382








Reviews
There are no reviews yet.