Maonyesho ya Kufana 2c
KSh210.00 Original price was: KSh210.00.KSh189.00Current price is: KSh189.00.
SKU: 2010143000450
Related products
-
Ahaa! Roda by Nyambeka
KSh355.00Original price was: KSh355.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartRoda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
-
Wendo tours Nairobi County by (Omwocha)
KSh322.00Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to cartWendo Wanani is a pupil at Kaptiket Primary school in Kericho County.
She has never been to Nairobi. She takes part in an essay writing competition titled ‘Kenya, my Beautiful Land,
and is invited to Nairobi for the finals.
Together with nine other pupils from different schools across the country,
Wendo’s reward is to tour the city under the sun – Nairobi. From parks to statues,
museums to roads she has never heard about, Wendo is on a discovery mission.ISBN: 9789966140104
-
Ngano za Mashairi
KSh289.00Original price was: KSh289.00.KSh260.00Current price is: KSh260.00.Add to cartNgano za mashairi ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kuchangamsha. Kila hadithi inafuatwa na shairi rahisi la kusisitiza yaliyosimuliwa. Pamoja na kuburudisha hadithi zilizomo zinato Mfunzo muhimu kwa wasomaji.
ISBN : 9789966342386
-
Stories from Maasai land by Ole Munke
KSh322.00Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to carthe Maasai is a community with a very rich culture and history.
The seven stories in this collection are just but part of the many that were told to children as they sat with their grandparents around the fireplace after the evening meal in their bread shaped houses. The author weaves them with the skill that makes them as relevant today as they were those many years ago. They are targeted at learners seeking to improve language
skills and learn about African cultures
David Ole Munke is a lecturer at Maasai Mara University and author of The Maasai Language:
an introduction and five other e-books all with a Maasai culture theme. He Uves with his family near the world
famous Maasai Mara game reserve in Narok County and has over ten years’ experience working as a community development officer among the Maasai.
.ISBN: 9789966140005
-
Rangi za Ali by Nyambura Mpesha
KSh228.00Original price was: KSh228.00.KSh205.00Current price is: KSh205.00.Add to cartAli ni mwanafunzi wa Darasa la Kwanza. Mahali anakoishi kuna vitu vya aina nyingi. Vitu hivyo vina rangi mbalimbali. Ali anazipenda rangi hizo. Ungana na Ali katika kitabu hiki. Utajua vitu na rangi zake.
ISBN: 9789966342676








Reviews
There are no reviews yet.