Sale!
Sale!
Kesho! Kesho! 2E
Original price was: KSh256.00.KSh230.00Current price is: KSh230.00.
ISBN: 9780195734546
Category
KSh256.00 Original price was: KSh256.00.KSh230.00Current price is: KSh230.00.
ISBN: 9780195734546
This is a story about a girl who did not like to comb her hair.
The little girl’s hair grows into a big knot. The knot is so big that Owl and some other animals move in and make a home. The girl’s friends all run away because the Owl is always hooting and tooting.
How will the little girl get rid of all the animals in her hair?
This interesting story teaches the reader about the importance of keeping hair neat and clean.
ISBN: 9789966075987
Roda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
Tuliondoka pale maziarani, mama akiwa mbele yetu kuongoza rubaa hadi kiamboni.Nilimtazama alivyotembea. Alikuwa mnyonge, gofu la mtu, kabaki mitulinga ,nyonga na fuvu la kichwa. Alikuwa mnyonge mfano wa sabatele changaraweni. Tulitembea guu bandika guu bandua. Kimya. Unywele ungalianguka, ungaliusika
Siku hii naikumbuka kama jina langu…..
ISBN : 9789966342355
Kuku leaves her six chicks alone in the hut. She goes to buy food at the market.
The naughty chicks wander outside. Unfortunately, an enemy awaits them in the tree. How do they escape?
This is an interesting story that encourages readers to appreciate their neighbours and friends.
The story also warns readers to listen to advice.
ISBN: 9789966075703
Wwesonga Ongulu hates just being an ordinary boy like his brother. He believes he is actually THUNDER itself roaring up there in the skies, and therefore goes out to do things that lesser boys cannot dare. Will he succeed? Find out what he does to live up to his thunderous name… and the thunderous trouble he finds himself int
Reviews
There are no reviews yet.