Sale!
Sale!
Sungura ni mbaya 3
Original price was: KSh238.00.KSh215.00Current price is: KSh215.00.
Category
KSh238.00 Original price was: KSh238.00.KSh215.00Current price is: KSh215.00.
Ali ni mwanafunzi wa Darasa la Kwanza. Mahali anakoishi kuna vitu vya aina nyingi. Vitu hivyo vina rangi mbalimbali. Ali anazipenda rangi hizo. Ungana na Ali katika kitabu hiki. Utajua vitu na rangi zake.
ISBN: 9789966342676
The Hat Party is a fun story about animals. It is Cat’s birthday. Cat has invited his friends to celebrate with him. The animals are happy to attend the party. They Wear bright hats.
The story has been tailored to teach children about domestic birds and animals. The story also teaches colours. Read the story to find out which animals went to the party.
ISBN: 9789966075567
Roda ni msichana mdogo ambaye ana ndoto ya kufanikiwa maishani – ndoto ya kuwa jaji. Maisha katika kijiji cha Tupe si rahisi hata kidogo. Kwanza anatoweka asijulikane alipo. Pili mama yake anauawa kinyama na watu wasiojulikana. Baada ya mazishi ya mama yake, mjomba wake Bwana Kilemba anamchukua ili kumtunza. Mke wake Bibi Mnuna yuaonekana kutopendezwa na hatua hiyo. Anageuka kuwa katili kwake Roda. Je, Roda ataweza kuitimiza ndoto yake mikononi mwa Mnuna? Usisubiri kuambiwa uisome hadithi hii.
ISBN: 9789966075628
Kito, msichana mdogo wa shule ya msingi, ana kipawa cha kuimba. Kila apatapo nafasi anakuza kipawa hicho. Mwalimu anapomtafuta mwanafunzi ambaye atamtumbuiza mgeni mkuu, wanafunzi wanamchagua Kito.Je, ataweza jukumu hilo? Kito Apepeta kimeandikwa kwa ustadi mkubwa. Kitabu hiki kinawalenga watoto wanaoanza kukamaa kwa lugha no fasihi. Kinaburudisha na kuwahimiza watoto kukuza vipaji vyao.
ISBN: 9789966788174
Mother has cooked a lot of maandazi. They are for visitors. Debo feels that the maandazi are hers. Will Debo let the visitors eat the maandazi?
ISBN: 9789966347879
Reviews
There are no reviews yet.