Mwongozo ya Mapambazuko ya Machweo (Globalink) by Globalink
KSh544.00 Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.
ISBN: 9789966766885
Related products
-
Ndoto ya Amerika by Ken Walibora
KSh290.00Original price was: KSh290.00.KSh265.00Current price is: KSh265.00.Add to cart“Kwani wewe hujawahi kuota ndoto ya .Amerika?” “Bado,” nikamwambia Madoa. Alishangaa. Akaniambia ikiwa sijaota ndoto ya Amerika basi lazima nina kasoro fulani… Ndoto ya Amerika ni kitabu usichoweza kukiweka chini hadi umeisoma hadithi nzima. Bila shaka kitawasisimua wasomaji wenye umri mdogo na mkubwa pia kwa jinsi kilivyotungwa kwa ufundi mkubwa.
For assistance, call us at +254 793 488207. Stay updated with our latest products and services by liking, following, and sharing our posts on Facebook, Instagram, Twitter, and TikTok.
-
Study Guide a Silent Song and other stories (Climax)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.Add to cartAn Episodic Approach guide book to A silent Song and Other Stories by Spotlight Publishers Ltd and edited by Godwin Siundu.
ISBN: 9784443456853
-
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book
KSh544.00Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.Add to cartMapambazuko ya Machweo na Hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi wa kipekee kwani umewashirikisha waandishi wenye tajriba pevu katika fani ya uandishi na kuwapa nafasi waandishi wachanga katika tasnia ya uandishi wa kifasihi. Waandishi waliochangia katika mkusanyiko huu wameonyesha ubunifu mkubwa kwa kusawiri uhalisia wa maisha katika mazingira yao tofauti.
Suala la uhalisia wa maisha na mwingiliano wake na fasihi haliwezi kupuuzwa kwani fasihi ni kioo cha jamii.
Mkusanyiko huu una hadithi zenye maudhui mbalimbali na zinazosheheni migogoro itakayowafikirisha wasomoji. Hali kadhalika, huu ni mkusanyiko wa kwanza wa hadithi fupi kuwahi kuchapishwa ulio na idadi karibu sawa ya waandishi wa kike na wa kiume.
ISBN:9789914987195
-
Shani katika njia panda by Story Moja
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartShani anakumbwa na furaha ya kupindukia rafiki yake, Jaki, anapomchagua kuandamana naye hadi Afrika Kusini.
Mjomba wa Jaki anajitolea kugharamia ziara hiyo. Hata hivyo, mamake Shani anashuku nia ya Mjomba kumpeleka mwanawe
Afrika Kusini. Mama anajaribu kumshawishi Shani kupuuza pendekezo hilo kwa kumwekea vikwazo. Shani aliye na hamu kuu
kwenda ughaibuni anakwea vikwazo vyote hadi mzazi wake anamkubalia kwenda Afrika Kusini. Mbona Mama Shani anashuku
ukarimu wa Mjomba? Soma hadithi ufumbue fumbo.ISBN: 9789966066800
-
Read more
Description of Parliament of Owls Parliament of Owls by Adipo Sidang’ is a Kenyan award-winning poet and playwright. His Young Adult novella, A Boy Named Koko, won the 2017 Burt Award for African Young Adult Literature (Kenya). It was also shortlisted for the Burt Award for African Young Adult Literature (Africa) the same year, and …







Reviews
There are no reviews yet.