Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book
KSh544.00 Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.
ISBN: 9789914987195
Related products
-
Study Guide to the Samaritan (climax) by John Lara
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartAn Episodic Approach guide book to THE SAMARITAN play by JOHN LARA.
Written by teachers of long standing Experience in both teaching and Marking K.C.S.E, this guide book provides 3 booklets under one cover:
1.A COMPREHENSIVE EPISODIC APPROACH GUIDE TO AN ARTIST OF THE FLOATING WORLD BY KAZUO ISHIGURO.
2.KCSE ENGLISH EXAMS TIPS BOOKLET; THROUGH THE EYE OF AN EXAMINER,
3.ANSWERED KCSE MODEL QUESTIONS BOOKLET
ISBN:9781145956803
-
Shades of Life by Pasomi Mucha
KSh733.00Original price was: KSh733.00.KSh660.00Current price is: KSh660.00.Add to cartShellsea Kego has had everything going for her. She has known nothing less than a Royal upbringing. Fancy schools, expensive holidays and all that vast wealth can buy have been the summary of the life of this young girl. Snobbish and with a keen sense of class, she mingles with the high and mighty, in whose league her rich mother luxuriates. Her fairy-tale kind of life comes tumbling down like a pack of cards when her mother drives her to what strikes her as a godforsaken ghost of a school in the middle of nowhere. “You can’t leave me in this terrible place! I cannot survive this! I will be miserable and end up failing!” Shellsea protests. “It’s for your own good.” her mother insists, as if to rub salt into her wound.
ISBN: 9780195736106
-
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book
KSh544.00Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00. -
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book
KSh544.00Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.Add to cartMapambazuko ya Machweo na Hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi wa kipekee kwani umewashirikisha waandishi wenye tajriba pevu katika fani ya uandishi na kuwapa nafasi waandishi wachanga katika tasnia ya uandishi wa kifasihi. Waandishi waliochangia katika mkusanyiko huu wameonyesha ubunifu mkubwa kwa kusawiri uhalisia wa maisha katika mazingira yao tofauti.
Suala la uhalisia wa maisha na mwingiliano wake na fasihi haliwezi kupuuzwa kwani fasihi ni kioo cha jamii.
Mkusanyiko huu una hadithi zenye maudhui mbalimbali na zinazosheheni migogoro itakayowafikirisha wasomoji. Hali kadhalika, huu ni mkusanyiko wa kwanza wa hadithi fupi kuwahi kuchapishwa ulio na idadi karibu sawa ya waandishi wa kike na wa kiume.
ISBN:9789914987195
-
Storymoja Giza la Muda by Storymoja
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartNana anahudhuria sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa chanda na pete, Judi. Huko, anakutana na mwigizaji maarufu ambaye ameigiza kama mhusika mkuu katika kipindi cha runinga kinachowalenga vijana. Papo hapo, Nana anapiga urafiki na mvulana huyo maarufu; urafiki ambao unaishia kuwa majuto.
Giza la Muda ni hadithi inayoangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana katika jamii na jinsi ya kukabiliana nazo. Changamoto hizo ni kama vile ushawishi wa marika na mimba za mapema.
ISBN: 9789966623638
Reviews
There are no reviews yet.