Sale!
Sale!
A For AIDS 4h
Original price was: KSh272.00.KSh245.00Current price is: KSh245.00.
ISBN: 9780195733815
Category
KSh272.00 Original price was: KSh272.00.KSh245.00Current price is: KSh245.00.
ISBN: 9780195733815
Huu ni mkusanyiko wa hadithi kumi na mbili, zenye mafunzo sufufu katika jamii ya leo. Ni hadithi ambazo zitakufanya uache kula pilau kwa samaki ili uzisome kwanza! utakapokuwa ukizisoma, zitakufanya usahau ulikuwa na mlo mezani kutokana na ucheshi uliomo. Hadithi hizi zinanuia kuwafundisha wanafunzi maadili ili wajenge mustakabali.
ISBN: 9789966140029
Kuku has laid six eggs. She is afraid that animals might steal her eggs. Then she will not have six chicks. She comes up with a plan that scares away her enemies.
Read the captivating story to find out how Kuku’s clever plan.
This is an interesting story that encourages readers to think critically when confronted with a problem.
ISBN: 9789966075901
Kulanga alizaliwa katika maingira magumu yasiyosikika wala kutajika.
Hali hii haikulua ndoto yake ya kufanikiwa Tabia njema na bidii yake
zilimfanya aheshimike na walimu pamoja na wenzake shuleni
Wavyele wake walipoipa dunia kisogo, ilionekana kana kwamba hataweza kufikia ile ndoto ya ajabu aliyokuwa nayo.
Mfadhili wake anauawa kwa sumu na kisha mke wa mfadhili kukatisha ufadhille kijana huyu atafanyaje i kufanikiwa
maishani na kuifikia ndoto yake?
ISBN: 9789966075260
Ngano za mashairi ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kuchangamsha. Kila hadithi inafuatwa na shairi rahisi la kusisitiza yaliyosimuliwa. Pamoja na kuburudisha hadithi zilizomo zinato Mfunzo muhimu kwa wasomaji.
ISBN : 9789966342386
Wwesonga Ongulu hates just being an ordinary boy like his brother. He believes he is actually THUNDER itself roaring up there in the skies, and therefore goes out to do things that lesser boys cannot dare. Will he succeed? Find out what he does to live up to his thunderous name… and the thunderous trouble he finds himself int
Reviews
There are no reviews yet.